George Kahangwa
JF-Expert Member
- Oct 18, 2007
- 547
- 148
Kwahiyo bado ni mwanachama wa NCCR..? ni sababu zipi zimekufanya ubadili uamuzi na kuamua kurejea..??
Sasa ,na Zitto atapewa nafasi gani? kwani nae yupo njia no. moja.Tatizo la vyama vyetu ni madaraka,kila mtu anataka awe fulani,jamani sio siasa hizo,kwani kafulila na danda wangebaki chadema wangekosa vyeo,pia na o nccr hizo nafasi zilikuwa wazi? au ndio wametimua watu.yaani hata mwezi aujapita mwanachama mpya anapewa madaraka makubwa kwenye chama.jamani tuwe makini na siasa za chuki.
zitto hupo????????????