Kikao cha JE Saccos

Sawa mkuu by the way unaweza kuelekeza zaidi ili tupafahamu vizuri hapo mahali?

Thanks
 
Sawa mkuu by the way unaweza kuelekeza zaidi ili tupafahamu vizuri hapo mahali?

Thanks
Mkuu ukifika Kinondoni unashuka kituo kinaitwa Manyanya hapo kuna Petrol Station ya BP kawaida huwa inaitwa Mwanamboka sasa nyuma yake ndio kuna hiyo sehemu inaitwa Mexico Pub
 
Poa mkuu hapo panafikika,I confirm my attendance

Mkuu ukifika Kinondoni unashuka kituo kinaitwa Manyanya hapo kuna Petrol Station ya BP kawaida huwa inaitwa Mwanamboka sasa nyuma yake ndio kuna hiyo sehemu inaitwa Mexico Pub
 
Mkuu taratibu za kujiunga zinakuwaje sisi wa mikoani. Kila nikijaribu naambiwa clear cookies!
 
Mkuu nimejaribu kutuma details zangu kwa kutumia hiyo email ya gmail lakini haziendi. Hata hivyo nilituma details kwa njia ya sms kwa kiongozi CD. Ninaimani ombi langu atalifanyia kazi.
 
Habari za asubuhi mkuu,

Labda tujuze ni mambo muhimu tunayopaswa kufika nayo coz sometimes nishawahi kuhudhuria vikao then unaambiwa hapa kinatakiwa so and so and so.
 
Reactions: LAT
Habari za asubuhi mkuu,

Labda tujuze ni mambo muhimu tunayopaswa kufika nayo coz sometimes nishawahi kuhudhuria vikao then unaambiwa hapa kinatakiwa so and so and so.

only your presence is mostly important
 
mambo hiko huku, jamani hivi unajiungaje? i mean hizo details zinazopaswa kutumwa ni zipi?
 
Hilo eneo ni maarufu kwa Mungiki..how is my safety guaranteed?
Gold Addict,ur safety with gold is guaranteed,would u like ultimate security to look after ur intrest 🙂,kuna ulinzi wa vibajaji na bodaboda only,plus leave ur husband at home otherwise Ataibiwa bila yeye or u kupenda.afterall the venue is in kiino Klein
 
duh ntafika mkuu,lakini unafanyaje kuwa mwanachama na ni kiasi gani?
 
Reactions: LAT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…