Tusio wanachama wa SACOSS lakini ni wanachama hai wa JF tunaruhusiwa kufika kutakasa macho?
Maelekezo kidogo juu ya huu mtazamo wa huyu jama,tafadhali tunaomba mwongozo
Tutakuja kuona kinachoendelea huko!mkuu
All are welcomed as long as the idea originated from JF and we are all enthusiastic in empowering community
your attendence is highly valued
we are sailing on the same boat
Haha!!! Mkuu umeniacha hoiGold Addict,ur safety with gold is guaranteed,would u like ultimate security to look after ur intrest 🙂,kuna ulinzi wa vibajaji na bodaboda only,plus leave ur husband at home otherwise Ataibiwa bila yeye or u kupenda.afterall the venue is in kiino Klein
Halafu na wewe Rejao unataka tukulete kwa Greda hebu acha hizo Jumamosi nataka nikuone usilete longolongo hapa lol!!!Tutakuja kuona kinachoendelea huko!
Na mimi ntajiunga muda si mrefu.
Waauh
Tunapenda kuwafahamisha wanachama wote wa JE SACCOS kuwa tutakuwa na kikao JUMAMOSI hii ya tarehe 1-10-2011 kitakachofanyika MEXICO PUB iliyoko barabara ya Kawawa Kinondoni Manyanya opposite na PETROL STATION YA MWANAMBOKA kuanzia saa 9 mchana na kuendelea tunaombwa wote kufika bila kukosa hasa kwa wanachama wa JE SACCOS waliopo Dar es Salaam.
Dhumuni la kikao ni kufanya tathmini ya tulipofikia na kujadili rasimu ya masharti ya JE SACCOS tunaomba wanachama wote tujitahidi kufika bila kukosa.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo
0715 887912
0757 212122
0787 212122
Asanteni.
Chelewa chelewa utakuta mwana si wako........
Poa mkuu..Halafu na wewe Rejao unataka tukulete kwa Greda hebu acha hizo Jumamosi nataka nikuone usilete longolongo hapa lol!!!
Pamoja Sana Katavi..Asante kwa taarifa "The Finest".
Nilikuwa nimeiweka katika ratiba kuhudhuria kikao hiki, lakini nimebanwa na kazi na nitashindwa kuja, nafanya mpango japo wa kutuma mwakilishi kama inaruhusiwa...........pamoja sana.
Karibu Sana Mkuu JE SaccosNipo Dar na inshaaalah nitakuwepo siku hiyo!!
nTutakuja kuona kinachoendelea huko!
asanteni kwa taaarifa lakini isije ikawa deci ya pili yazaliwatunapenda kuwafahamisha wanachama wote wa je saccos kuwa tutakuwa na kikao jumamosi hii ya tarehe 1-10-2011 kitakachofanyika mexico pub iliyoko barabara ya kawawa kinondoni manyanya opposite na petrol station ya mwanamboka kuanzia saa 9 mchana na kuendelea tunaombwa wote kufika bila kukosa hasa kwa wanachama wa je saccos waliopo dar es salaam.
Dhumuni la kikao ni kufanya tathmini ya tulipofikia na kujadili rasimu ya masharti ya je saccos tunaomba wanachama wote tujitahidi kufika bila kukosa.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nasi kupitia namba zifuatazo
0715 887912
0757 212122
0787 212122
asanteni.
Always thinking negative as usual, we all due respect kama you are interested then well and good if not then we would advise you to stop tarnishing JE Saccos image with your false implications.asanteni kwa taaarifa lakini isije ikawa deci ya pili yazaliwa
asanteni kwa taaarifa lakini isije ikawa deci ya pili yazaliwa
Always thinking negative as usual, we all due respect kama you are interested then well and good if not then we would advise you to stop tarnishing JE Saccos image with your false implications.
ODM siasa za majitaka zinaachwa huko huko usigope bana hamna ngumi za uso mkuu hahahaODM anatafakari kuja....
Hivi na wale mahasimu wa kwenye jukwaa la siasa na la dini hawatanifanya niwe refarii wa kuamua ngumi? Au si wanachama wa JE Saccos? Manake dah! sipati picha wakikutana uso kwa uso.....
ODM anawaahidi atakuwa mwanachama hai wa hii saccos. Ngoja niiweke hii bajaji yangu matairi ya trekta.
ODM anatafakari kuja....
Hivi na wale mahasimu wa kwenye jukwaa la siasa na la dini hawatanifanya niwe refarii wa kuamua ngumi? Au si wanachama wa JE Saccos? Manake dah! sipati picha wakikutana uso kwa uso.....
ODM anawaahidi atakuwa mwanachama hai wa hii saccos. Ngoja niiweke hii bajaji yangu matairi ya trekta.