nimefuraìa maisha toka nimejiunga hapa nawashukuru wanajamii wote
MAADA ZA KIKAO.
1. NANI AMEKUWA MTOA MAADA MZURI (MAADA ZINAZO JENGA JAMII). KARIBIA WOTE WAMELETA MAADA NZURI.
2. NANI AMEKUWA MCHANGIAJI MZURI, MWENYE LUGHA NZURI NA ANAPASWA KUPONGEZWA?. SIWATAJI LAKINI KUNA WATU HAPA NI WAZURI MNO TENA SANA, NIMEJIFUNZA SANA.
3. JE NANI ANATAKIWA AFUNGIWE, ASIKANYAGE KABISA KATIKA JUKWAA LETU??. KAZI YA WAHUSIKA KUMFUNGIA MTU.
4. NI MAMBO GANI YAMEKUKERA KATIKA JUKWA HILI KWA MWAKA 2010.MATUSI, PICHA MBAYA ZILIZO PILITIZA, UKIZINGATIA UMRI HATUJUANI.
5. NI MAADA ZIPI UNAPENDA ZIRUHUSIWE KATIKA JUKWAA HILI KWA MWAKA 2011. ZOTE AMBAZO ZINAHUSU JUKWA LETU.
6. JE UMESAIDIKA KWA KIWANGO GANI NA JUKWAA HILI KWA MWAKA 2010?. SANA TUU,
7. JE NINI KIZINGATIWE ILI KUBORESHA JUKWA LETU KWA MWAKA 2011??. NIDHAMU, HESHIMA KWA WENGINE, UPENDO.
hAAPY NEW YEAR.
musuri mpenzi nipo 2 hapa usalule g house napost via-mobile natamani tena kuja AR Lol yale mapokezi c mchezohabari yake Maty......vipi wewe
This is my last post for the year 2010 i love you guys stay blessed. And happy new year 2011 kwa aliye Dar namkaribisha DOUBLE TREE HILTON HOTEL
alikuwa guest kabla hajawa member. So he is ok. Jk hakujiunga na ccm kabla ya kingunge na sasa anawaita kunako mduara!
kuwepo training kwa wageni wanaokaribia jukwaani kila siku ili waendane na maadili ya jukwaa katika kuleta mada na kuchangia mada. pili wanachama wapunguze kuanzisha topic nyingi kwa siku, mfano unakuta mwanachama mmoja anaanzisha topics kumi kwa siku, huyu hatufaia maana katika hizo topics kumi kwa siku ni mbili tu zenye tija kwa wanajamii.
nawasilisha
mokoyo
mimi nimejifunza mengi kwenye masuala ya mapenzi,kutokana na u busy wangu,sikuwa mchangiaji mzuri.ila 2011 kila siku lazima nitapitia jf. Na nimejifunza w.me wengi ,wanapenda nyumba ndogo,kuwa na nyumba ndogo kwao ni jambo la kawaida kabisa.seriously nilikuwa nasikia hili neno katerero{msinione mshamba},kumuuliza mtu kwangu mimi ni mtu wa aibu nisingeweza,ila nilikuwa najua ni neno la asili ya kagera.nashukuru kwa kupitia humu,nimelielewa
safi sana kisukari,, sasa hapo kwen bold, umeelewa na jinsi ya kulitenda? kama bado tuongeze shule kidogo
Mh...The Pope at work!!
My guess is-hapo unavolunteer kuyatoa hayo mafunzo ya vitendo sio...?!!
Nein............... (HAPPY NEW YEAR...)