Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 416
- 414
Kikao Cha Kamati ya Fedha cha Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) limevurugika baada ya wajumbe wa kamati ya fedha kugundua matumizi mabaya ya Fedha ambayo haikupewa idhini na kamati hiyo, pamoja na kamati tendaji.
Kikao hicho kilipata dosari kwa kuwa mabosi wakuu wa RT hawakuhudhuria , na kamati kubaini mkaguzi wa RT asiyetambulika na Kamati ya fedha, na ndiye aliyefunga mahesabu hayo.
Kiongozi wa Taasisi aliyekuwepo ni Mhazini wa RT , ambaye alishindwa kutoa majibu ya ubadhirifu wa fedha za Shirikisho hilo.
Wakati huo huo, kikao cha katiba kilifanyika na kujadiliwa na kupitishwa.
Serikali Yetu sikivu, itazame hili.... wanariadha wanateseka sana.
Kikao hicho kilipata dosari kwa kuwa mabosi wakuu wa RT hawakuhudhuria , na kamati kubaini mkaguzi wa RT asiyetambulika na Kamati ya fedha, na ndiye aliyefunga mahesabu hayo.
Kiongozi wa Taasisi aliyekuwepo ni Mhazini wa RT , ambaye alishindwa kutoa majibu ya ubadhirifu wa fedha za Shirikisho hilo.
Wakati huo huo, kikao cha katiba kilifanyika na kujadiliwa na kupitishwa.
Serikali Yetu sikivu, itazame hili.... wanariadha wanateseka sana.