Kikao cha pili cha Tanzania Graduate SACCOS

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,290
Tarehe 12/04/2014, siku ya jumamosi, saa 9:00 kamili mchana, ukumbi ni Ubungo River Side Bar - Ubungo River Ride. kutakuwa na kikao cha pili cha wadau wote ambao wapo tayari kuleta mapinduzi ya ajira nchini, kila mdau ahakikishe akosi siku hiyo, pia kila mdau asambaze taarifa hii kwemye mitando mingine ya kijamii na kwa marafiki wote. kwa mawasiliano: 0717 309119 ( afisa habari ).

Asanteni na Mungu awabariki
 
nyie sio wezi nyieeeee,yaani hata kazi hamjapata mnaanzisha hyo kitu,sa pesa za kulipia,hisa,viingilio,kuweka akiba kwa ajili ya kukopea mtapata wapi,na zaidi ya hapo,mtaji wa milioni 5 mnao?,maaana hilo ni mojawapo la hitaji la kuanzisha saccos
 
wizi mtupu....! waepuke kama ebora

mkuu nakuheshima sana, ila naamin kwenye jambo jema lazima wanafki wawepo, nakuahid hautotukatisha tamaa juu ya mapambano haya, najua wewe ni miongoni mwa wale wanaopenda wenzenu wakiangaika mitaan, huku nyie mkiwa na furaha. sina hukumu ya kukupa bali mi namshakia mungu juu yako, huenda akakusamehe au akakuhukumu. amin
 
Nipo eneo la tukio tayari nilichanganya muda wa kuanza kikao,ngoja niagize nyama choma na ugali hapa mpaka muda ufike
 
Watanzania wanapinga ata mambo mazuri.

Ata kama hawana pesa lakin kupitia umoja huo ni rahis kusaidiwa. Ni ngumu kusaidiwa mtu mmoja mmoja ila kupitia umoja ni rahisi.

Nawashauri msikatishwe tamaa na watu aluta continua.
 
Yaani kuna watu kazi yao ni kuvunja wengine mkuu,shauri zao,mie nasubiri hapa hata km kuna mvua
Watanzania wanapinga ata mambo mazuri.

Ata kama hawana pesa lakin kupitia umoja huo ni rahis kusaidiwa. Ni ngumu kusaidiwa mtu mmoja mmoja ila kupitia umoja ni rahisi.

Nawashauri msikatishwe tamaa na watu aluta continua.
 

mmeanzisha kitu kizuri , msikate tamaa, hongera zenu
 
Wapinzani tunawahitaji pia ili wapenda maendeleo tukaze nia dhabiti ya kufanya mageuzi ya ajira na kujiajili tz,achana na huyo,SACCOS hii ni muhimu sana jamani wenzangu tusikose,wengi wana mawazo mazuri ila tatizo ni mtaji njooni sasa tutatue matatizo yetu kama tz GRADUATES tusisubiri wafadhiri waje tuwaibie pesa zao.COME ONE COME ALL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…