Kikao cha review ya Fei Toto chamalizika, Fatuma Karume asema ameridhishwa na mchakato

Kikao cha review ya Fei Toto chamalizika, Fatuma Karume asema ameridhishwa na mchakato

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetumia muda wa saa mbili kumaliza kupitia upya shauri la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Klabu ya Yanga linalohusiana na mkataba baina ya pande hizo mbili.

Shauri hilo lilianza kusikilizwa saa 5:20 asubuhi na kumalizika saa 7:20 mchana ambapo pande zote mbili ziliondoka eneo la tukio, katika ofisi za TFF Karume Dar es Salaam.

Hayo yalikuwa mapitio ya pili baada ya mwanzo TFF kuamuru kuwa Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga na anapaswa kurejea kikosini lakini upande wa mchezaji huyo haukukubaliana na majibu hayo na kuomba mapitio ‘Review’.

Wakili Fatuma Karume maarufu kama 'Shangazi' aliyekuwa upande wa Fei Toto amesema: "Tumemaliza tulichokuwa tunakifanya, tumewaachia wao watafakri upya, mimi nina mwakilisha tu (Fei Toto), kijana ana haki ya kuamua yeye kama anataka kurudi au vinginevyo, tunasubiri maamuzi. Feisal namjua, kuja kuniomba mimi kumsaidia si kitu kibaya."
 
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetumia muda wa saa mbili kumaliza kupitia upya shauri la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Klabu ya Yanga linalohusiana na mkataba baina ya pande hizo mbili.

Shauri hilo lilianza kusikilizwa saa 5:20 asubuhi na kumalizika saa 7:20 mchana ambapo pande zote mbili ziliondoka eneo la tukio, katika ofisi za TFF Karume Dar es Salaam.

Hayo yalikuwa mapitio ya pili baada ya mwanzo TFF kuamuru kuwa Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga na anapaswa kurejea kikosini lakini upande wa mchezaji huyo haukukubaliana na majibu hayo na kuomba mapitio ‘Review’.

Wakili Fatuma Karume maarufu kama 'Shangazi' aliyekuwa upande wa Fei Toto amesema: "Tumemaliza tulichokuwa tunakifanya, tumewaachia wao watafakri upya, mimi nina mwakilisha tu (Fei Toto), kijana ana haki ya kuamua yeye kama anataka kurudi au vinginevyo, tunasubiri maamuzi. Feisal namjua, kuja kuniomba mimi kumsaidia si kitu kibaya."
Kwa kifupi dogo kakaa.
 
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetumia muda wa saa mbili kumaliza kupitia upya shauri la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Klabu ya Yanga linalohusiana na mkataba baina ya pande hizo mbili.

Shauri hilo lilianza kusikilizwa saa 5:20 asubuhi na kumalizika saa 7:20 mchana ambapo pande zote mbili ziliondoka eneo la tukio, katika ofisi za TFF Karume Dar es Salaam.

Hayo yalikuwa mapitio ya pili baada ya mwanzo TFF kuamuru kuwa Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga na anapaswa kurejea kikosini lakini upande wa mchezaji huyo haukukubaliana na majibu hayo na kuomba mapitio ‘Review’.

Wakili Fatuma Karume maarufu kama 'Shangazi' aliyekuwa upande wa Fei Toto amesema: "Tumemaliza tulichokuwa tunakifanya, tumewaachia wao watafakri upya, mimi nina mwakilisha tu (Fei Toto), kijana ana haki ya kuamua yeye kama anataka kurudi au vinginevyo, tunasubiri maamuzi. Feisal namjua, kuja kuniomba mimi kumsaidia si kitu kibaya."
Sasa maamuzi gani yanasubiriwa wakati Fatma Shangazi ameshatoa majibu?
Waliomrubuni Feisal Wana nafasi yao jehanamu.
 
Fei we leta wanzanzibar wote waje kutetea ila yanga itakukomesha
Ninasitika sana kuwa watu wengi wanatupa lawama kwa Yanga kwa kutanguliza hisia.
Ikiwa Yanga inalipa kile ambacho walikubaliana kimkataba sioni tatizo.

Ilikuwa ni busara Fei kuomba wakae chini wapitie mkataba upya ili aboreshewe maslahi yake tu
 
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imetumia muda wa saa mbili kumaliza kupitia upya shauri la mchezaji Feisal Salum ‘Fei Toto’ na Klabu ya Yanga linalohusiana na mkataba baina ya pande hizo mbili.

Shauri hilo lilianza kusikilizwa saa 5:20 asubuhi na kumalizika saa 7:20 mchana ambapo pande zote mbili ziliondoka eneo la tukio, katika ofisi za TFF Karume Dar es Salaam.

Hayo yalikuwa mapitio ya pili baada ya mwanzo TFF kuamuru kuwa Fei Toto ni mchezaji halali wa Yanga na anapaswa kurejea kikosini lakini upande wa mchezaji huyo haukukubaliana na majibu hayo na kuomba mapitio ‘Review’.

Wakili Fatuma Karume maarufu kama 'Shangazi' aliyekuwa upande wa Fei Toto amesema: "Tumemaliza tulichokuwa tunakifanya, tumewaachia wao watafakri upya, mimi nina mwakilisha tu (Fei Toto), kijana ana haki ya kuamua yeye kama anataka kurudi au vinginevyo, tunasubiri maamuzi. Feisal namjua, kuja kuniomba mimi kumsaidia si kitu kibaya."
Fei hana haki ya kuamua kwa mujibu wa mkataba wake, sheria ya soka ndo inaamua. Fatma ajue sheria za soka si sawa na alizosoma.
 
Amegundua wateja wake ni mbumbumbu kwa kila kitu
 
Back
Top Bottom