Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Kikao gani kilikaa mpaka baba yako akaamua kukuzaa kichwa maji kama wewe??
Tanzania mababa wa taifa wawili Nyerere na Karume.
mmh!kweli wewe mshika chuma.nimecheka sana.Kikao kilifanyika nyumbani kwako, mbele ya baba yako na mama yako....baada ya kukubaliana wakakutuma wewe
kuutangazia umma pale barazani kwenu kwa kutumia vuvuzela kama zile za kwenye world cup SA. Je, unalingine?
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!"
Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?
kwa maelezo yako nahisi umesukumwa na wivu+udini Nyerere kuitwa Baba wa Taifa.Kama ni hivyo kuanzia sasa Baba wa Taifa ni Marehemu Shehe Yahaya.:israel:
Saint nyerere
Kikao gani cha serikali na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa? Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".
Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi kuchanganya dini na siasa?
Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na kejeli.
Kikao gani cha serikali
na chama walikaa na kuamua kumwita Mwl.Nyerere kuwa aitwe baba wa taifa?
Kikao hicho kilifanyika wapi na tarehe ngapi? Tangazo la jina hilo
lilitolewa na nani na katika chombo kipi halali cha serikali?
Kuna wakati mbunge mmoja simkumbuki jina alisema"kwakuwa Nyerere
anaingia kwenye mchakato wa utakatifu basi heshima ya ubaba wa taifa
apewe mh.Mkapa!" akaongeza "kwakuwa utawala wa Mkapa ulikuwa mzuri basi
napendekeza bunge liridhie tubadili katiba ili mkapa agombee tena ili
aweze kutawala kwa miaka 10 mingine?".
Mytake:
Huu ni mlolongo wa sintofahamu ndani ya Tanzania ambazo zimepaliliwa
tangu enzi! Kwani Nyerere alilifanyia nini kanisa katoliki hadi limpe
hadhi ya utakatifu wakati yeye mwenyewe alidai ni haramu/dhambi
kuchanganya dini na siasa?
Naomba tujadili hoja hii nyeti kwa ueledi nasio matusi na
kejeli.