The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hebu chukua teksi uje fasta hap JJ tunakusubiria na royaumeiona eeeeh....dah....namsubiri Ngabu kaniwekesha hapa lisaa sasa....mi naishia zangu naenda kula samaki wa foil triple M Sinza....vipi utakuja?
Preta nakusubiri harakisha basi
mi nimekusubiri hivyo mpaka nikakata tamaa.....niko Triple M na ndio naondoka muda si mrefu naenda JJ
Cheza na mshahara usicheze na kazi!!Haya wasalimie hao walugaluga.....mi naenda zangu Tabata kwa Ndevu kuchezea mshahara zaidi....ukiboreka nibipu
Nipo samakisamaki pembeni mwakinyago njia yakwenda maliwatoni!Pm haifai??only a PM?
Nipo samakisamaki pembeni mwakinyago njia yakwenda maliwatoni!Pm haifai??
Eeeh watu na pesa zao na pilau ya Eid
Eeeh watu na pesa zao na pilau ya Eid
Shaba Pub - Soweto - Mbeya
Nitakutwangia tujumuike pamoja.natamani kuwafata lkn hata sielewi kila mtu yuko bize.
kama vipi naenda zangu ktk mkesha wa kuliombea taifa.,kama kuna anayetaka kuongozana na mie anitwangia simu iko wazi muda wote.
Nitakutwangia tujumuike pamoja.