Kweli unajitambua na kutambua emotion zako
kugegeda na kugegedana
Hehehehe wewe kweli benteke aisee
Unajua bado nataka mama
Pole na majukumu
hebu tuambie basi jamani.....uligegeda/gegedwa siku ya ngapi baada ya mtongozano...mi namaliza mwaka sasa kuna manzi alinikubalia mtongozo ila mambo ananipa kalenda[/QUO
hebu tuambie basi jamani.....uligegeda/gegedwa siku ya ngapi baada ya mtongozano...mi namaliza mwaka sasa kuna manzi alinikubalia mtongozo ila mambo ananipa kalenda
Duh..vibaya hivooHata miaka miwili, kwani anakimbilia wapi?
Hakuna kipya ni mwendo wa kusubiri, mtu hawezi anachapa lapa.
Safi sana kwa kujali muda madam,Kabla hata hajanitongoza
Ni typing error au mimi ndiyo sijaelewa mkuu??Ndoa my as.s
AiseeMazoezi na mechi siku hiyohiyo
Yaani mwaka 2014 tayari ulikuwa mzee?!😳😳😳Mi na uzee huu bado Nawaogopa wanaume nasogeza kalenda ile mbaya.