Elections 2010 Kiki Hajamwimba JK mwaka huu?

This time jamaa hafai kabisa wenye akili timamu wote wanajiepusha nae, wanaogopa aibu
 
Wamebaki hawa vijana wa bongo fleva wanaganga njaa yao. Hawajali litakalowapata baada ya hapo. Nawaonea huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…