Kiki ngumu sana mji huu muulize bingwa wao Diamond

Naona pierre asaiv anapost tu matangazo. ..I think wanaom manage huyu mtu ni akili kubwa sana mana kakaa kimya kama sio yeye alieshika insta leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona pierre asaiv anapost tu matangazo. ..I think wanaom manage huyu mtu ni akili kubwa sana mana kakaa kimya kama sio yeye alieshika insta leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Twitter kiboko makonda alijua atampoteza kumbe kamuinua sana yaani hata ambao walikuwa hawan Mpango nae leo wametafuta habari zake

mpuuzi mpuuzi tu
 
Twitter kiboko makonda alijua atampoteza kumbe kamuinua sana yaani hata ambao walikuwa hawan Mpango nae leo wametafuta habari zake

mpuuzi mpuuzi tu
Mfano mm. Kiukweli nilikuwa simfahamu. Lkn Leo nimempekua liquid mpak nikamjua
 
Mfano mm. Kiukweli nilikuwa simfahamu. Lkn Leo nimempekua liquid mpak nikamjua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni fan wa huyu jamaa lakini washkaji zangu hawamuelewi kabisa ila leo kutwa nzima wanamfwatilia wmepekua na kupata habari ambazo nilikuwa sizijui kuhusu jamaa

mpuuzi mpuuzi tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi ni fan wa huyu jamaa lakini washkaji zangu hawamuelewi kabisa ila leo kutwa nzima wanamfwatilia wmepekua na kupata habari ambazo nilikuwa sizijui kuhusu jamaa

mpuuzi mpuuzi tu
Nyingine niliyoipata ni kwamba anakwenda UK kwa mwaliko wa Victor Wanyama
 
Nyingine niliyoipata ni kwamba anakwenda UK kwa mwaliko wa Victor Wanyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pombe tunakunywa lakini jamaa imemtoa makonda kaona wivu pombe inampandisha ndege aende ulaya

mpuuzi mpuuzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…