Kiki za DAB na baba DAB

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
maongezi ya simu ASUBUHI:

baba DAB: hello...dogo?
dogo (DAB): ndiyo, ni mimi baba. shikamoo!
baba DAB: marahaba. sasa sikiza...nenda klauz katengeneze tatizo afu tuli-solve, umesikia?
dogo (DAB): sawa baba nimekunyaka....dakika sifuri.
baba DAB: sharp, ndiyo maana nakuaminia dogo!
!
!
maongezi ya simu JIONI:

dogo (DAB): hello baba, shikamoo. klauz tayari nimekinukisha baba!
baba DAB: safiii sana dogo. sharp!
!
!
maongezi ya simu dakika 5 baadae....

baba DAB: hello.....dk Kiwembe?
dk Kiwembe: ndiyo ni mimi mkuu, nakusikiliza mtukufu.
baba DAB: kuna tatizo klauz, umesikia?
dk Kiwembe: ndiyo mkuu nimesikia..lakini huyu dogo vipi mbona....?
baba DAB: tuliza boli dk. ni mimi, siyo dogo. sikiza, nitakwambia siku ya wewe kwenda klauz kutatua tatizo, sawa?
dk Kiwembe: ndiyo mtukufu..... nasubiri amri yako!
baba DAB: utasema nani katatua tatizo?
dk Kiwembe: ni wewe mkuu, kwani kuna mwingine nchi hii baba mtukufu?

Episode ya "Kiki za DAB na baba DAB" itaendelea wiki ijayo....fuatilia hapa hapa JF.
 
dk Kiwembe: ni wewe mkuu, kwani kuna mwingine nchi hii baba mtukufu?

Hahaha, nimependa sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…