Mr Alpha
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 273
- 765
-Mohamed Hussein
-Simon Msuva
- Kibu Denis
-Mbwana Samatta
-Aishi Manula
-Mudathir Yahaya
-Charles Mombwa (acheze kiungo wa kati)
-Dickson Job
-Ibrahim Bacca
-Fei Toto
- Haji Mnoga
Waambiwe wakabe kwa kasi na kufanya mashambulizi ya akili na uhakika sio kubutua butua ujinga, msuva, Samatta na Kibu wasirudi nyuma sana waishie mstari wa kati kufanya Counter attacks
Full backs wajitahidi kutupa mipira mirefu kuwatafuta washambuliaji wetu kuwavuruga beki za Kongo
Otherwise TUTAPIGWA HADI TUCHAKAE
-Simon Msuva
- Kibu Denis
-Mbwana Samatta
-Aishi Manula
-Mudathir Yahaya
-Charles Mombwa (acheze kiungo wa kati)
-Dickson Job
-Ibrahim Bacca
-Fei Toto
- Haji Mnoga
Waambiwe wakabe kwa kasi na kufanya mashambulizi ya akili na uhakika sio kubutua butua ujinga, msuva, Samatta na Kibu wasirudi nyuma sana waishie mstari wa kati kufanya Counter attacks
Full backs wajitahidi kutupa mipira mirefu kuwatafuta washambuliaji wetu kuwavuruga beki za Kongo
Otherwise TUTAPIGWA HADI TUCHAKAE