Kikokotoo cha kustaafu kisilete ubishi

Halafu Watumishi wa Umma wanaokwenda kupewa Mafao ya Kikokotoo kuanzIa July 2022 hawakupewa Nyongeza ya mshahara miaka 6 wala kupandishwa madaraja. Kikokokotoo kinaenda kuwapeleka kwenye Umaskini wa Uzeeni kama walivyoishi kimaskini kwa mishahara kiduchu. Kama Serikali ndio imepandisha Mshahara July 2022 kwa nini wasisubiri effect ya Nyongeza ya Mishahara itunishe Pensheni za Wastaafu at least 3 years ndio Kikokotoo kama lazima. TUCTA CWT, TUGHE mko wapi?
 
Wawape TU hela Yao yote, kama mshahara hautoshi vipi pension ya kikokotoo? Kwani wakulima Wanapewa pension? Miaka 6 mtu hajapandishwa mshahara Wala daraja na mnajua namna pension inavyokokotolewa, na kikokotoo kinanza July mosi. Huko ni kudharau wananchi.
 
Pe
Uharibifu alofanya bwana yule kwa miaka 5,utatuvhukua zaidi ya miaka 50 kurekebisha!! Alaaniwe huko alipo
Pension inamaana kama mshahara wako ulimudu kukupatia nyumba, shamba, trecta, ghala la kuhifadhia mazao, lori na kusomesha watoto wako. Watu wanataka hela Yao kwa mkupuo kwakuwa mishahara ya miaka 40 ilishindwa kumuandaa kustaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…