Kikokotoo kupatiwa majibu leo

Kikokotoo kupatiwa majibu leo

kanderema

Member
Joined
Apr 26, 2024
Posts
18
Reaction score
18
Kwa upepo ulivyo vuma kule Bungeni huenda leo tukapata majibu ya kikokotoo Leo.
 
Inawezekana kampa maelekezo mkuu
Huwezi kumpa maelekezo mtu mwingine kwa jambo zito kama hilo, hakuna utaratibu huo.

Kwanza Makamu wa Rais anakaimu madaraka ya Urais kama Rais hayupo, je huyu mama yuko wapi? Na may day ipo kwenye kalenda inajurikana wazi ni siku fulani.
 
Sasa mgeni rasmi ni makamu wa Rais hana madaraka hayo.
IMG-20240501-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom