Kikokotoo kwa mstaafu hata serikali inaona AIBU

Kikokotoo kwa mstaafu hata serikali inaona AIBU

lufungulo k

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
2,601
Reaction score
2,058
Kwako wewe afisa wa NSSF unayekenua kwenye TV, ukijifanya mtaalamu wa HESABU za vikokotoo, swali langu ni 1 tu.

Kwanini mmetolea mfano wa afisa wa serikali aliyestaafu wakati akilipwa mshahara wa tsh 2,000,000/=( hapa ndipo AIBU ilipojificha)

Kokotoeni mshahara wa walio wengi ili AIBU yenu ikae WAZI.

MF 500,000/= - 1,000,000/=

HAPO ndo vifo baada ya kustaafu vilipo na HAKUNA UZALENDO BAADA YA AJIRA.
 
Kwako wewe afisa wa NSSF unayekenua kwenye TV, ukijifanya mtaalamu wa HESABU za vikokotoo, swali langu ni 1 tu.

Kwanini mmetolea mfano wa afisa wa serikali aliyestaafu wakati akilipwa mshahara wa tsh 2,000,000/=( hapa ndipo AIBU ilipojificha)

Kokotoeni mshahara wa walio wengi ili AIBU yenu ikae WAZI.

MF 500,000/= - 1,000,000/=

HAPO ndo vifo baada ya kustaafu vilipo na HAKUNA UZALENDO BAADA YA AJIRA.
Mwajiriwa wa serekalini namdharau sana. Hawana akili hawajitambui. Walitakiwa kukinukisha kweki kweri. Asilimia 33 ni wendawazimu sana. Bora kujiajiri tu.
 
20230415_151349.jpg
 
Mwajiriwa wa serekalini namdharau sana. Hawana akili hawajitambui. Walitakiwa kukinukisha kweki kweri. Asilimia 33 ni wendawazimu sana. Bora kujiajiri tu.
Ajira tamu bwana asikwambie mtu!! Nauwezo wa kuajiriwa na kujiajiri
 
NI wateja wangu wakubwa wa Kitimoto wakiwa kazini, wakishastaafu kazi uwa wanakuja mara chache sana!
Mwajiriwa wa serekalini namdharau sana. Hawana akili hawajitambui. Walitakiwa kukinukisha kweki kweri. Asilimia 33 ni wendawazimu sana. Bora kujiajiri tu.
 
Back
Top Bottom