Kikokotoo ni dhulma

Kikokotoo ni dhulma

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.

As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.

DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
 
Screenshot_2024-02-20-17-45-58-1.png
 
Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.

As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.

DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Mngekuwa na umoja mkatoka barabarani huenda kuwa mngesikilizwa. Lakini umoja hamna
 
Mngekuwa na umoja mkatoka barabarani huenda kuwa mngesikilizwa. Lakini umoja hamna
Tumeshastaafu Wazee, Wanyonge, Wagonjwa tutajiorganize vipi ilihali Kila Mtu yupo kwao? Kumbe Kiinua mgongo ndiyo kimegawanywa. 33% Mkupuo.67% Kila Mwezi kwa Miaka 12.5. Pension haipo kama Zamani🙆🙆🙆.
 
Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.

As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.

DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Nimeshindwa kusikitika nikaishia kucheka tu
 
Tumeshastaafu Wazee, Wanyonge, Wagonjwa tutajiorganize vipi ilihali Kila Mtu yupo kwao? Kumbe Kiinua mgongo ndiyo kimegawanywa. 33% Mkupuo.67% Kila Mwezi kwa Miaka 12.5. Pension haipo kama Zamani🙆🙆🙆.
Welcome to reality, as i said hamna umoja. Mngekuwa na mmoja mngewezq kuwa pressure hawa watu kuchange policy
 
Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.

As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.

DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
"Any government is an organ of exploitation by nature."

Mikhail Bukanin.
 
Back
Top Bottom