Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Wote walioshiriki katika kutekeleza hili, Mungu atawalipaNi wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Vp mkuu mtu wa jirani yamemkutaNi wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Huzijui kokoto?Kikokotoo ni kifaa ama ni nini? Mtufafanulie na sisi tusiokijua.
Mngekuwa na umoja mkatoka barabarani huenda kuwa mngesikilizwa. Lakini umoja hamnaNi wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Hili nalo nenoWazee waiozaliwa 1975 kurudi nyuma wengi ni wakuda, wanyooshwe kwanza na jeuri yao.
Tutaanza kukinukisha 2035 wakiwa wamepukutika.
Tumeshastaafu Wazee, Wanyonge, Wagonjwa tutajiorganize vipi ilihali Kila Mtu yupo kwao? Kumbe Kiinua mgongo ndiyo kimegawanywa. 33% Mkupuo.67% Kila Mwezi kwa Miaka 12.5. Pension haipo kama Zamani๐๐๐.Mngekuwa na umoja mkatoka barabarani huenda kuwa mngesikilizwa. Lakini umoja hamna
Nimeshindwa kusikitika nikaishia kucheka tuNi wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir
Welcome to reality, as i said hamna umoja. Mngekuwa na mmoja mngewezq kuwa pressure hawa watu kuchange policyTumeshastaafu Wazee, Wanyonge, Wagonjwa tutajiorganize vipi ilihali Kila Mtu yupo kwao? Kumbe Kiinua mgongo ndiyo kimegawanywa. 33% Mkupuo.67% Kila Mwezi kwa Miaka 12.5. Pension haipo kama Zamani๐๐๐.
100%Tusome albadili tu najitolea ng'ombe .toeni location ya kutapofanyika dua naleta sadaka fasta tumalize.
Freemasons ni wananchi mimi na wewe ๐ณ๐ณFreemasons wangeanza kuwatoa kafara wabunge wa CCM waliopitisha huo ujinga. Ni dhulma kubwa kwa mwanadamu.
Wao wanakitetea ila hawataki kitumike kwao.
"Any government is an organ of exploitation by nature."Ni wizi,ni unyonyaji,ni unyanyasaji, ni kero.
As long waliokiweka wao hawajakuwekea ni UBINAFSI wa kiwango cha juu sana kwenye taifa la watu wanaohubiri HAKI.
DemokrasiaYetu ina watunga sheria WABINAFSI sana credit by bajabir