Kikokotoo ni janga kwa watumishi wa umma

MADEVU MANYWELE

New Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
4
Reaction score
0
Kwa serikali sikivu ilitakiwa kuwa imeshatoa tamko la kufanya mabadiliko juu ya hii sheria kandamizi ya KIKOKOTOO ambayo hailengi kuwanufaisha wastaafu zaidi ya kuharakisha kifo kwao bila kujali utumishi wao uliotukuka kwa Taifa la Tanzania.
 
Kikokotoo ni fomula itawasaidia wastaafu kupata walau kidogo ili waondokane na msongo hatimae kufa.
Serikali iliwalazimisha waajiri wawalipe wafanyakazi 10℅ ya mshahara wao ili waweke kwenye mifuko kwa ajili ya kustaafu apate pension.

Hilo la 10% ni kongole ya kwanza kwa serikali. Sasa we ukitaka walipwe zote basi walipwe ile 20% walokatwa kwa kipindi sawa na miaka alofanya kazi(monthly wise) uone watapata kiasi gani.

Mfano mtu alikuwa anakatwa 100,000 na mwajiri anamuongezea 100000 akistaafu kila mwezi apewe 200000+ka interest ni ujinga mtupu.

Pia suppose serikali isingeweka hyo mifuko means 10% extra usingepata ukistaafu unategemea nini?
muwe mnafikiria mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…