Kikomo cha kwenda kuripoti taarifa za mtu aliyepotea

raheezle

Senior Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
114
Reaction score
90
Salaamu wakuu wa jukwaa hili..

Nilikuwa na swali moja juu ya ukomo wa muda wa kwenda kuripoti tukio la mtu aliepotea maana tulienda kuripoti tukio la kupotea kwa ndugu yetu katika mazingira ya kutatanisha ya takribani mwezi mmoja uliopita ila jibu tulilopeww ni kwamba muda tuliotakiwa kwenda kuripoti umeshapita na ilitakiwa tufanye hivyo ndani ya siku saba (7) tangu tukio litokee hii ni kweli ama imekaaje hii naomba mnijuze
 
We ndugu yako amepotea mwezi mzima hushituki?hutoi taarifa wala kufatilia ktk vyombo vya habari huo ni uzembe.wao wataanzia wapi sasa maana watataka maelezo yanayoweza kuwasaidia waanzie wapi kwa kua ni muda mfupi tu toka amepotea.sasa mwezi mzima hata pale pa kuanzia hapatawasaidia,so we nenda kwa mganga wa kienyeji umuite kivingine labda.acha uzembe na kusumbua jeshi la poloce,wana kazi nyingi za ulinzi za kufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…