Kikomo cha umri kuomba ajira za majeshi kama uhamiaji kiongezwe

Kikomo cha umri kuomba ajira za majeshi kama uhamiaji kiongezwe

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Naandika nikiwa na majonzi mengi sana mimi ni kijana wa miaka 27 jobless ambae napambana na natamani kubadili maisha yangu ila hivi vigezo vya ajira kwa kigezo cha umri vinatukosesha sana ajira sisi wagonga ulimbo ni kwa mara nyingine tena mfumo wa wa ajira portal uhamiaji umenitema kisa umri wangu.

Screenshot_20241208-140024.png
 
Naandika nikiwa na majonzi mengi sana mimi ni kijana wa miaka 27 jobless ambae napambana na natamani kubadili maisha yangu ila hivi vigezo vya ajira kwa kigezo cha umri vinatukosesha sana ajira sisi wagonga ulimbo ni kwa mara nyingine tena mfumo wa wa ajira portal uhamiaji umenitema kisa umri wanguView attachment 3172126
Miaka 27 huwezi kupata ajira uhamiaji??!
Serikali inaelewa kweli nchi hii watu wanamaliza chuo wakiwa na wastani wa miaka mingapi?!
 
Miaka 27 huwezi kupata ajira uhamiaji??!
Serikali inaelewa kweli nchi hii watu wanamaliza chuo wakiwa na wastani wa miaka mingapi?!
Nimeumia sana kaka angu

Mifumo sio rafiki kabisa kaka
 
Nimeumia sana kaka angu

Mifumo sio rafiki kabisa kaka
Ni kukosa tu uelewa wa mambo na kujifanyia mambo kimazea, uhamiaji hata sio kazi ya kuhitaji manguvu sana, hata mzee wa miaka 50 anaifanya vizuri tu. Pia wangepewa watu wenye umri mkubwa ndio ingekuwa sahihi zaidi kwa sababu wana uzeofu wa kukutana na raia wa mataifa mbalimbali.
 
Ni kukosa tu uelewa wa mambo na kujifanyia mambo kimazea, uhamiaji hata sio kazi ya kuhitaji manguvu sana, hata mzee wa miaka 50 anaifanya vizuri tu. Pia wangepewa watu wenye umri mkubwa ndio ingekuwa sahihi zaidi kwa sababu wana uzeofu wa kukutana na raia wa mataifa mbalimbali.
Kabisa ndugu yangu
 
Screenshot_20241208-181941 (1).png


Ukijaribu kuingiza details za form 6 baada ya kusbmit za form 4 mfumo unagoma na kuandika hivi, maana yake Nini ??
 
Ni kukosa tu uelewa wa mambo na kujifanyia mambo kimazea, uhamiaji hata sio kazi ya kuhitaji manguvu sana, hata mzee wa miaka 50 anaifanya vizuri tu. Pia wangepewa watu wenye umri mkubwa ndio ingekuwa sahihi zaidi kwa sababu wana uzeofu wa kukutana na raia wa mataifa mbalimbali.
Wazee wataweza kupiga kwata?
 
jamani mimi naomba kuuliza maombi yote unatumia anuwani moja tu au anuwani mbili tafauti kwa zanzibar na bara
 
Back
Top Bottom