poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
Mchezaji nyota wa timu ya Chelsea Eden Hazard ametaja wachezaji wake nyota watano huku akiwaacha wachezaji bora wa dunia Lionel Messi na Christiano Ronaldo.
Hazard aliulizwa juu ya kikosi chake bora na uefa.com ndipo alipowataja wachezaji watano bora kuwahi kutokea. Alimtaja Muargentina Juan Roman Riquelme na wabrazil Ronaldinho na Robinho.
Wengine ni washindi wa kombe la dunia na Ulaya wafaransa Thierry Henry na Zinedine Zidane.
Hakuchagua beki wala golikipa katika kikosi chake cha 'dream team'. Hazard anayehusishwa kuhamia Real Madrid wachezaji hao wote aliowataja watatu walichezea Real Madrid na wawili Barcelona.
Wengi wameshangazwa na orodha ya wachezaji wake kukosekanika kwa Lionel Messi na Christiano Ronaldo.
Chanzo:michezo365
Hazard aliulizwa juu ya kikosi chake bora na uefa.com ndipo alipowataja wachezaji watano bora kuwahi kutokea. Alimtaja Muargentina Juan Roman Riquelme na wabrazil Ronaldinho na Robinho.
Wengine ni washindi wa kombe la dunia na Ulaya wafaransa Thierry Henry na Zinedine Zidane.
Hakuchagua beki wala golikipa katika kikosi chake cha 'dream team'. Hazard anayehusishwa kuhamia Real Madrid wachezaji hao wote aliowataja watatu walichezea Real Madrid na wawili Barcelona.
Wengi wameshangazwa na orodha ya wachezaji wake kukosekanika kwa Lionel Messi na Christiano Ronaldo.
Chanzo:michezo365