Kikosi Bora Cha Man Utd kwa Miaka 10 iliyopita

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kwa mujibu wa mtandao wa Goal.com wametoa kikosi bora cha Man Utd kwa miaka 10 iliyopita (Muongo Mmoja) yaani 2009-2019.

Je unakubaliana nao? Yupi ameachwa na anastahili kuwepo kikosini

 
Kuna watu wabishi humu... Wameambiwa kikosi cha miaka kumi lakini nyie mnaleta wachezaji wa miaka 20 nyuma
 
RVP yuko Man u na Arsenal... hatari sana huyu mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…