Kikosi Bora Cha Premier League 2018/19 chatangazwa

Kikosi Bora Cha Premier League 2018/19 chatangazwa

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Leo kimetangwa kikosi Bora Cha Premier League kimetangazwa huku wachezaji 10 wakitoka kwenye timu 2 za man city na Liverpool
Pogba ndo mchezaji pekee alieingia kwenye kikosi hicho katika timi 18 zilizobaki

Ikumbukwe kikosi hichi huchanguliwa na wachezaji wenyewe wa EPL
58378376_10157488571648598_6710590103091150848_n.jpeg
 
Salah wanamuuwa taratibu msimu ujao atakuwa hana kitu kiwango chake kitadorora kama pogba na Lukaku🙇
 
Pogba hizo game alikuwa anacheza chumbani? Kuna majembe yapo Wolves Pogba hata robo msimu huu hajawafikia
 
Leo kimetangwa kikosi Bora Cha Premier League kimetangazwa huku wachezaji 10 wakitoka kwenye timu 2 za man city na Liverpool
Pogba ndo mchezaji pekee alieingia kwenye kikosi hicho katika timi 18 zilizobaki

Ikumbukwe kikosi hichi huchanguliwa na wachezaji wenyewe wa EPLView attachment 1080572

Tusubiri kikosi cha waandishi wa habari za michezo, hiki ni cha kikuda.
 
Wachezaji zaidi ya 300 wamepiga kura wamemchangua wewe uko nanjilinji unapiga kelele hakustahili
Kura ndo zimekuzuzua sana eeeh? Marangapi hata barondooo huwa inaenda kwa wrong player? Hata kama nipo huku kijijini Tarime ila siyo bongo lala kama wewe uliye magogoni
 
Salah chuma 19 assist 7 jumla katengeneza goli 26. Hayupo
Hazard chuma 16 assist 13 jumla katengeneza goli 29. Hayupo
Aguero chuma 19 assist 8 jumla katengeneza magoli 27 .Yupo
Mane chuma 18 assist 1 jumla katengeneza magoli 19. Yupo
Pogba chuma 13 assist 9 jumla katengeneza magoli 22.Yupo
sterling chumA 17 assist 10 jumla magoli katengeneza 27.Yupo
Niishie hapo kweli uchawi upo sterling ,Mane na pogba wanawazidi nini Salah na Hazard?
 
Salah chuma 19 assist 7 jumla katengeneza goli 26. Hayupo
Hazard chuma 16 assist 13 jumla katengeneza goli 29. Hayupo
Aguero chuma 19 assist 8 jumla katengeneza magoli 27 .Yupo
Mane chuma 18 assist 1 jumla katengeneza magoli 19. Yupo
Pogba chuma 13 assist 9 jumla katengeneza magoli 22.Yupo
sterling chumA 17 assist 10 jumla magoli katengeneza 27.Yupo
Niishie hapo kweli uchawi upo sterling ,Mane na pogba wanawazidi nini Salah na Hazard?
Kuna kitu kimoja vyombo vya habari na nyie mashabiki mnashindwa kuelewa.

Hicho kikosi ni 4-3-3 inamaana kuna mabeki 4 midfield 3 na washabuliaji 3

Pogba yupo upande wa midfield

Hao uliowataja kina hazard na salah sio midfield hawagombanii namba na pogba, wapinzani wa pogba ni midfield players kina Ngolo kante, Keita, Fabinho, henderson, gundogan etc

Na kuhusu salah/Hazard vs sterling sijui kama ulikuwa serious. Sterling ni katika wachezaji bora kabisa msimu huu kama sio mchezaji bora amefunga magoli mengi sana ya lala salama ambayo yameihakikishia timu yake point 3.
 
Back
Top Bottom