KIKOSI CHA ASKARI KATORO-GEITA kinapita kinatangaza wafanyabishara wafungue Maduka hakuna yeyote atakaewazuru wakifungua
Kwa taarifa zilizopo Leo tarehe 26/6/2024 wafanyabishara wa Katoro mkoani Geita wameungana na wenzao mikoa mingine kufunga Maduka .
Askari wanalazimisha wafungue Maduka wafanyabishara