Kikosi cha askari Katoro, Geita kinapita kinatangaza wafanyabishara wafungue maduka hakuna yeyote atakaewazulu wakifungua


Hao polisi, wana shida kichwani. Kwani hao wafanyabiashara waliofunga maduka, wamewaambia wamefunga kwa sababu wanaogopa kudhuriwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…