eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Naskia mnaiba hadi miwa ya mtibwa arosto amewakaba
Mtarudi kulia lia hapawachezaji wa simba wa benchi ni bora kuliko first eleven ya ngada fc
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2] [emoji2]Naskia mnaiba hadi miwa ya mtibwa arosto amewakaba
Kama Kichuya na Mavugo pekee wanakufungeni, na mnatoka vichwa chini, vipi wakiwemo na haoKwa kikosi hicho na foward ya Ajibu,Ngoma,Tambwe na Chirwa lazima waunganishwe tena kifurushi cha wiki
Hao wahenga hawaumizi kichwaKama Kichuya na Mavugo pekee wanakufungeni, na mnatoka vichwa chini, vipi wakiwemo na hao
wengine ?
Yanga asiyokuwa na Manji msahau kuifunga Simba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga ilikuwa ya Manji wajameni.