Kikosi cha mizinga "block 41" - Tunasonga

Kikosi cha mizinga "block 41" - Tunasonga

ukwaju_wa_ kitambo

Senior Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
150
Reaction score
173
KIKOSI CHA MIZINGA - TUNASONGA

NImefungua macho kujikuta vitani/ kimenuka nadhani watu wameshafuta majani/ Epuka kujihami mabomu yana anguka jirani/ wanajuta kukuta haki haipatikani kwa Amani/ kuruta baki nyumbani tumevuka Imani/ Yaani kiasi kushuka dili ujistili ngizani / na bendera inaendelea kupepea nusu mlingoti/ wanajeshi na masela mahabusu nipe Riport.

Nipo tayari kukipaka hata mbele ya bwana mkapa/ nasio kama nadata ila ukweli unaomata / jeshi linaposonga hakuna wa kukamata/ adui wanaponiona vitani wanaufyata /.

Wanaosikia hawasikilizi/ wanaosikiliza hawasikii/ machizi sio miujiza/ tunasonga Namna hii/...
Kwenye nafsi ya kila mmoja...../ Na hii ni dhati / kurudi kwetu nyuma mwiko mpaka tujue tamati.

Chorus.

Tunasonga ..!!! Kwa mwendo wa farasi Au kinyonga

Endeleaaa....

Ukwaju wa kitambo
0767 542 202
images-33.jpg
 
Back
Top Bottom