Golini: Juma K Juma, sasa ni kocha wa Magolikipa Stars
Mbavu ya kulia: Nassoro Chollo, mara ya mwisho alikuwa Stand United
Mbavu ya kushoto: Omar Maftah atakuwa kwao huko.
Beki kati: Baba Esta (Kapombe), yupo Simba bado
:Kelvin Yondani, yupo Geita Gold
Kiungo Mkabaji: Patrick Mafisango (RIP), ameshageuka mbolea.
Winga wa Kulia: Uhuru Suleiman, sijui alipo.
Winga wa kushoto: Emanuel Okwi, yupo Al Ittihad
Kiungo mchezeshaji: Mwinyi Kazimoto, sijamsikia hivi karibuni.
Kiungo Mshambuliaji: Haruna Moshi Boban, naye sifahamu alipo. Itakuwa kastaafu.
Mshambuliaji: Sunzu Felix, alienda kwao Zambia. Sijui timu gani.
Mtani tulimtandika Mkono, mpaka Golikipa alifunga. Dharau kabisa.