Kikosi cha simba msimu ujao, endapo sajili zitakamilika

Kikosi cha simba msimu ujao, endapo sajili zitakamilika

Smart AJ

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
5,564
Reaction score
5,884
Mtoe au muweke mwingine hapo.

Screenshot_20230706-190829_My%20Lineup.jpg
 
Hakuna kitu kinaninyima Usingizi kama kuletewa Golikipa wa kufika tu na kumweka langoni. Tutakuja kustuka gemu 4 za mwanzo tumeliwa na tumepoteza dira.
Viongozi wangu wa Simba tusiwaamini sana Makocha wa leo maana wengine ni Mawakala/Madalali wa wachezaji tunaweza kupigwa vibaya kama yale ya DEJAN
 
Kusajiri wachezaji wa kimataifa ili wawe wako benchi kusubiri substitution ni matumizi mabaya ya raslimali.
Hapana mkuu,mwalimu hwezi kumuingiza tu mchezaji mgeni kwenye mfumo wake bila kumuangalia kwa ukaribu mazoezini,kazima asugue kwanza benchi
 
Hakuna kitu kinaninyima Usingizi kama kuletewa Golikipa wa kufika tu na kumweka langoni. Tutakuja kustuka gemu 4 za mwanzo tumeliwa na tumepoteza dira.
Viongozi wangu wa Simba tusiwaamini sana Makocha wa leo maana wengine ni Mawakala/Madalali wa wachezaji tunaweza kupigwa vibaya kama yale ya DEJAN
Aah wee huyo mbrazil anajua wee,sasa unataka kusema ally salim atamweka benchi huyo jamaa???thubutuu
 
Kusajiri wachezaji wa kimataifa ili wawe wako benchi kusubiri substitution ni matumizi mabaya ya raslimali.
Nimeshangaa eti Ngoma anaanzia sub! Yaani mchezaji aliyetekwa ndani ya ndege na kudainishwa mkataba kibabe, halafu anaanzia tena nje!! Kulikuwa kuna umuhimu gani sasa wa kutumia nguvu zote hizo!!
 
Nimeshangaa eti Ngoma anaanzia sub! Yaani mchezaji aliyetekwa ndani ya ndege na kudainishwa mkataba kibabe, halafu anaanzia tena nje!! Kulikuwa kuna umuhimu gani sasa wa kutumia nguvu zote hizo!!
Sasa kwani ni lazima aanze,?halafu huo mkataba wa kibabe sjui kama uliwaona mkuu
 
Back
Top Bottom