Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusajiri wachezaji wa kimataifa ili wawe wako benchi kusubiri substitution ni matumizi mabaya ya raslimali.
Hapana mkuu,mwalimu hwezi kumuingiza tu mchezaji mgeni kwenye mfumo wake bila kumuangalia kwa ukaribu mazoezini,kazima asugue kwanza benchiKusajiri wachezaji wa kimataifa ili wawe wako benchi kusubiri substitution ni matumizi mabaya ya raslimali.
Aah wee huyo mbrazil anajua wee,sasa unataka kusema ally salim atamweka benchi huyo jamaa???thubutuuHakuna kitu kinaninyima Usingizi kama kuletewa Golikipa wa kufika tu na kumweka langoni. Tutakuja kustuka gemu 4 za mwanzo tumeliwa na tumepoteza dira.
Viongozi wangu wa Simba tusiwaamini sana Makocha wa leo maana wengine ni Mawakala/Madalali wa wachezaji tunaweza kupigwa vibaya kama yale ya DEJAN
Huyu baleke si naskia anaenda raja?
Unaweza msajili messi au cr7 halafu waanzie benchi kisa wageni?Hapana mkuu,mwalimu hwezi kumuingiza tu mchezaji mgeni kwenye mfumo wake bila kumuangalia kwa ukaribu mazoezini,kazima asugue kwanza benchi
Nimeshangaa eti Ngoma anaanzia sub! Yaani mchezaji aliyetekwa ndani ya ndege na kudainishwa mkataba kibabe, halafu anaanzia tena nje!! Kulikuwa kuna umuhimu gani sasa wa kutumia nguvu zote hizo!!Kusajiri wachezaji wa kimataifa ili wawe wako benchi kusubiri substitution ni matumizi mabaya ya raslimali.
Sasa kwani ni lazima aanze,?halafu huo mkataba wa kibabe sjui kama uliwaona mkuuNimeshangaa eti Ngoma anaanzia sub! Yaani mchezaji aliyetekwa ndani ya ndege na kudainishwa mkataba kibabe, halafu anaanzia tena nje!! Kulikuwa kuna umuhimu gani sasa wa kutumia nguvu zote hizo!!
Wakusqidien saaasa. Watu hat kariakoo huku agrey na Congo wapoHuwez amini nmemsahau dah[emoji1787][emoji1787]simba ina watu asee