Kaka alianza mechi gani tukianza na mechi ya tarehe 6/4 ambayo hakucheza kabisaKichuya hakai bench,acha hisia
Ujumbe uko wazi, hao ndio wanatesa Bongo maana yake hatuna wachezaji, hili ndilo linawagharimu England miaka yote.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu bila shaka una jokes hapa
Naelewa lakini AFCON inahitaji match fitness na si kingine.Kwani wakati samatta ana kadi mbili za njano mechi zidi ya lesotho ukuona chilunda alivyocheza au unajitoa ufahamu?
Hapo sawa mkuu. Bongo mpira bado sanaUjumbe uko wazi, hao ndio wanatesa Bongo maana yake hatuna wachezaji, hili ndilo linawagharimu England miaka yote.
Kabisa hawa hawakutakiwa kuitwa kabisaHahahaaa goli 4 za kufikia tu tena mechi ya kwanza Himid mao, Yahya zaid, Shaban chilunda, Abdi banda, Shiza kichuya, Thomas ulimwengu, na Farid musa ni WAKAA BENCHI WAKUBWA SASA SIJUI WANAKUJA KUFANYA NINI.
Kigezo gani kilichotumika kuipa Kenya hiyo sifa?Naelewa lakini AFCON inahitaji match fitness na si kingine.
Alafu kule inaenda kucheza na Algeria, Senegal na Kenya unadhani nini kitatokea?
Kenya ndio timu pekee yenye defence bora afrika nzima kwenye michezo iliyochezwa ya kufuzu na wana nguvu na kasi mzee ni hatari inakuja
Timu haijaruhusu magoli mengi kama timu zingine zooote mpaka inafuzu, CAF wameipa sifa kama Timu yenye safu bora ya ulinziKigezo gani kilichotumika kuipa Kenya hiyo sifa?
Oky.. waliruhusu goli ngapi? Halafu kundi la Kenya lilikua na mechi chache kuliko makundi mengine. Uganda na wenyewe walikua hawajafungwa ata goli moja mpaka walipo fika kwa Mkapa.Timu haijaruhusu magoli mengi kama timu zingine zooote mpaka inafuzu, CAF wameipa sifa kama Timu yenye safu bora ya ulinzi
Ni kweli kenya kacheza mechi chache kwa takwimu zaidi nenda GoogleOky.. waliruhusu goli ngapi? Halafu kundi la Kenya lilikua na mechi chache kuliko makundi mengine. Uganda na wenyewe walikua hawajafungwa ata goli moja mpaka walipo fika kwa Mkapa.
Petrojot sini Sawa na Namungo tu mkuuHimid Mao Ni mchezaji wa kutegemewa anacheza first 11 ya Petrojet
Ukabira hata JK aliukataaNimefurah kuona wachezaj watatu kutoka chama la nyumban lipuli fc vanapaluhengo "KAMWENE INTERNATIONAL"
Amechukuliwa mjomba wake na Wallace Kelvin johnDogo Rashid Juma sio wakukosa kwenye kikosi ichi
Kamuulize bimkubwa wako amewata kwenuKagere, Makambo, Okwi, Chama mbona sioni majina yao? Maana hawa ndio nawasikia wanatamba kwenye soka la bongo.
Garasa himidi mao naomba sio litemwe lifukuzwe ata uraia kabisaKila la kheri katika kuwachuja japo si ajabu Magarasa yakabakishwa.