Kikosi cha Yanga cha kumfukuzisha kazi Fadlu na lawama kwa uongozi wa Simba

Kikosi cha Yanga cha kumfukuzisha kazi Fadlu na lawama kwa uongozi wa Simba

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Habarini za Jumapili, Leo hatuna mambo mengi, nakuja na kikosi ch Yanga ambacho kitaanza na mechi dhidi ya Simba makolo, kikosi hili kitaleta madhara Kwa watu wengi sana, kuanzia Kwa Uongozi wa Simba, Mwenye timu(M0), Waziri Mkuu, Washabiki, pamoja na msemaji Ahmed.
Screenshot_20250302-093921.jpg

Natabiri mechi hii kumalizika Kwa 4-1 Kwa Simba kufungwa na hatimaye Kocha Fadlu kufukuzwa, na tutakuwa na malalamiko mengi ya kuwa hatuwataki viongozi
 
Habarini za Jumapili, Leo hatuna mambo mengi, nakuja na kikosi ch Yanga ambacho kitaanza na mechi dhidi ya Simba makolo, kikosi hili kitaleta madhara Kwa watu wengi sana, kuanzia Kwa Uongozi wa Simba, Mwenye timu(M0), Waziri Mkuu, Washabiki, pamoja na msemaji Ahmed.
View attachment 3255546
Natabiri mechi hii kumalizika Kwa 4-1 Kwa Simba kufungwa na hatimaye Kocha Fadlu kufukuzwa, na tutakuwa na malalamiko mengi ya kuwa hatuwataki viongozi
Weka mbali na watoto.
 
Pole sana Mkuu.

Ukiwahi kinapona, utapona mkuu #
Usifikiri ngedere hataki au hapendi chai, chai anaipenda SEMA Sasa akifikiria kuwa sufuria atapata wapi, sukari atapata wapi, majani atapata wapi, jiko na moto atauwashaje basi kutokana na magumu hayo ngedere anaamua kwenda kula mahindi mabichhi shambani " MSEMO WA MZARAMO SHABIKI WA SIMBA"

Sasa ndedere ndo Simba, sio kwamba hataki kombe Bali atafanyaje akifikiria yanga anamfungaje basi anabaki kulaumu GSM na TFF na marefa
 
Yao kouassi majeruhi, hapo muweke Isra mwenda sio mbaya, Sub dakika ya 70 ingiza Chama + Duke Abuya
 
Habarini za Jumapili, Leo hatuna mambo mengi, nakuja na kikosi ch Yanga ambacho kitaanza na mechi dhidi ya Simba makolo, kikosi hili kitaleta madhara Kwa watu wengi sana, kuanzia Kwa Uongozi wa Simba, Mwenye timu(M0), Waziri Mkuu, Washabiki, pamoja na msemaji Ahmed.
View attachment 3255546
Natabiri mechi hii kumalizika Kwa 4-1 Kwa Simba kufungwa na hatimaye Kocha Fadlu kufukuzwa, na tutakuwa na malalamiko mengi ya kuwa hatuwataki viongozi
Unaonekana haufatiliagi mechi za Yanga, mara ya mwisho kumuona Atoula uwanjani ni lini? Atoula hata kama atakuwa mzima ila hatakiwi kupangwa mechi ya tarehe 8 kwasababu hana match fitness.

Simba ina wachezaji wawili ambao kwasasa ndio wana usumbufu kwa kuwa na kasi ( Kibu na Mpanzu) hivyo kama mimi ni kocha ningempanga Kibwana Shomari nafasi ya Yao Atoula. Kibwana ana uwezo wa kula sahani moja na mchezaji mwanzo mwisho, nakumbuka jinsi Kibu D alivyokuwa anatulizwa na Kibwana hadi anatolewa kwa sub kwavile hana madhara.
 
Kwenye makararasi uto inatisha sana, waache sasa waingie uwanjani. Ni mwendo wa kununua mechi za matawi na kimataifa kufurushwa hatua ya makundi.
 
Hio midfield ni nyeupe mno, hakuna kocha anaweza kupanga kikosi hicho tena kwenye derby kama hio, that's a suicidal selection!!!
Not suicidal ni homicidal Kwa Simba, mudathir kiwango kimeshua, so acheE max na aucho
 
Unaonekana haufatiliagi mechi za Yanga, mara ya mwisho kumuona Atoula uwanjani ni lini? Atoula hata kama atakuwa mzima ila hatakiwi kupangwa mechi ya tarehe 8 kwasababu hana match fitness.

Simba ina wachezaji wawili ambao kwasasa ndio wana usumbufu kwa kuwa na kasi ( Kibu na Mpanzu) hivyo kama mimi ni kocha ningempanga Kibwana Shomari nafasi ya Yao Atoula. Kibwana ana uwezo wa kula sahani moja na mchezaji mwanzo mwisho, nakumbuka jinsi Kibu D alivyokuwa anatulizwa na Kibwana hadi anatolewa kwa sub kwavile hana madhara.
Wewe mkata ufuta wa hapa jf huwezi jua madhara ya Kibu Mkandaji . Aisifuye mvua imemnyea .Madhara ya Kibu anayajua Diara.

Na kwa taarifa yako Diara kaandika barua kwenda kwa Kibu Mkandaji akimuomba asije kumdharirisha tena kama alivyofanya kipindi kile.
 
Back
Top Bottom