Kikosi cha Yanga kikiwa hivi unatabiri nini Kimataifa?

Hamna timu ya kimataifa hapo, kuvuka round ya awali ni majaliwa. Uchochoro mpana nyuma.
 
Mimi mshabiki wa Yanga

Kwanini timu imekuwa ya wageni kwa 95%

Inamaana wazawa hatuna uwezo kabisa? Tunauwa vipaji vya wazawa
 
Mbona beki bora aliyedhulumiwa tuzo na Tff elcaptino Nondo Mwamnyeto simuoni hapo??
 
Tatizo mabeki wa kati wa Yanga wana makosa mengi sana. Mechi Vs Coast Union magoli yote yalitokana na makosa makubwa ya mabeki, siyo umahiri wa mfungaji.
 
Mbona beki bora aliyedhulumiwa tuzo na Tff elcaptino Nondo Mwamnyeto simuoni hapo??
Mwamnyeto amepigwa kitu inaitwa zaiko huko Tanga akili zinaruka ruka,inasemekana kamchapia mtu waifu wake.
 
Mimi mshabiki wa Yanga

Kwanini timu imekuwa ya wageni kwa 95%

Inamaana wazawa hatuna uwezo kabisa? Tunauwa vipaji vya wazawa
Wewe hulijui hilo? Angalia uwezo wa Taifa stars jibu unalipata hapo.
 
Tena huku benchi ukiwa na,

Mshery,kibwana,Mwamnyeto,Farid,Sureboy,msuva,makambo,kambole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…