Yaani asilimia mia moja nimekiandika kwa mkono wangu bila kuangalia sehemu yoyote. Kombe la dunia nimefuatilia mwanzo mwisho.Umekiiba hapaView attachment 2452825
What if ni the same person?Now days watu wanacopy vitu facebook wanaleta JF, niliona millard kapost
Siyo rahisiWhat if ni the same person?
Ndo umuache amrabat kama uliliona kombe ma duniaYaani asilimia mia moja nimekiandika kwa mkono wangu bila kuangalia sehemu yoyote. Kombe la dunia nimefuatilia mwanzo mwisho.
Ukiangalia hapo mbona tumetofautiana wachezaji watatu?
Yaani asilimia mia moja nimekiandika kwa mkono wangu bila kuangalia sehemu yoyote. Kombe la dunia nimefuatilia mwanzo mwisho.
Ukiangalia hapo mbona tumetofautiana wachezaji watatu?