GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Djigui Diara ( Yanga SC )
2. Shaaban Djuma ( Yanga SC )
3. Mohammed Hussein Tshabalala ( Simba SC )
4. Dickson Job ( yanga SC )
5. Henock Inonga ( Simba SC )
6. Yannick GENTAMYCINE Bangala ( Yanga SC )
7. Edmund Godfrey ( Geita Gold FC )
8. Khalid GENTAMYCINE Aucho ( Yanga SC )
9. Fiston GENTAMYCINE Mayele ( Yanga SC )
10. George Mpole ( Geita Gold FC )
11. Shizya Kichuya ( Namungo FC )
Imeandikwa na Fundi Mwenyewe wa Mpira na aliyeucheza vile vile halafu ana Jicho Kali la Kumjua Mchezaji mzuri ndani ya Dakika Tatu ( 3 ) na hajawahi Kukosea pia GENTAMYCINE wa JamiiForums. Na GENTAMYCINE nikisema kuwa hujui jua haujui ( hujui ) kweli hivyo achana na Mpira nenda Kabebe zako Magunia Sokoni Kingalu au Kariakoo.
Kama Kikosi changu hiki Kitakufanya Unune au Unichukie Ushauri wangu tafuta Sumu ya Panya ikorogee katika Kikombe kisha tizama Juu Mbinguni sema Haleluyah kisha Kinywe Ufe kabisa na tutakutana sote Paradiso Siku Moja. Na ukitaka niwataje Wachezaji wa Timu yako ' Mapopoma' walioko Songea kawaambie wajitahidi Msimu ujao.
Cc: adriz
2. Shaaban Djuma ( Yanga SC )
3. Mohammed Hussein Tshabalala ( Simba SC )
4. Dickson Job ( yanga SC )
5. Henock Inonga ( Simba SC )
6. Yannick GENTAMYCINE Bangala ( Yanga SC )
7. Edmund Godfrey ( Geita Gold FC )
8. Khalid GENTAMYCINE Aucho ( Yanga SC )
9. Fiston GENTAMYCINE Mayele ( Yanga SC )
10. George Mpole ( Geita Gold FC )
11. Shizya Kichuya ( Namungo FC )
Imeandikwa na Fundi Mwenyewe wa Mpira na aliyeucheza vile vile halafu ana Jicho Kali la Kumjua Mchezaji mzuri ndani ya Dakika Tatu ( 3 ) na hajawahi Kukosea pia GENTAMYCINE wa JamiiForums. Na GENTAMYCINE nikisema kuwa hujui jua haujui ( hujui ) kweli hivyo achana na Mpira nenda Kabebe zako Magunia Sokoni Kingalu au Kariakoo.
Kama Kikosi changu hiki Kitakufanya Unune au Unichukie Ushauri wangu tafuta Sumu ya Panya ikorogee katika Kikombe kisha tizama Juu Mbinguni sema Haleluyah kisha Kinywe Ufe kabisa na tutakutana sote Paradiso Siku Moja. Na ukitaka niwataje Wachezaji wa Timu yako ' Mapopoma' walioko Songea kawaambie wajitahidi Msimu ujao.
Cc: adriz