Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Hiki ni kikosi bora mzunguko wa kwanza mpaka sasa tumeingia mzunguko wa pili.
Djgui diarra
djuma shaban
kibwana shomary
Dickson job
bakari mwamnyeto
Litombo bangala
aucho
feisal salum
saido ntibazonkiza
fiston mayele
jesus moloko.
SUB : aishi manula, shomary kapombe, Mohamed Hussein, henoc inonga, joash onyango, jonas mkude, tepsie Evans, keneth muguna, reliant lusajo..
hiki kikosi kimeshinda mechi nyingi kuliko wengine.
kimeshinda mechi nyingi za ugenini .
Wachezaji wake wamefunga magoli mengi.
Imefungwa magoli machache .
kinaongoza ligi.
kinaongoza kwa kupiga pasi nyingi.
sasa hapa hats ungekuwa wewe ungemuweka nani?
siko kiusbabiki kabisa ila ni ukweli.
Djgui diarra
djuma shaban
kibwana shomary
Dickson job
bakari mwamnyeto
Litombo bangala
aucho
feisal salum
saido ntibazonkiza
fiston mayele
jesus moloko.
SUB : aishi manula, shomary kapombe, Mohamed Hussein, henoc inonga, joash onyango, jonas mkude, tepsie Evans, keneth muguna, reliant lusajo..
hiki kikosi kimeshinda mechi nyingi kuliko wengine.
kimeshinda mechi nyingi za ugenini .
Wachezaji wake wamefunga magoli mengi.
Imefungwa magoli machache .
kinaongoza ligi.
kinaongoza kwa kupiga pasi nyingi.
sasa hapa hats ungekuwa wewe ungemuweka nani?
siko kiusbabiki kabisa ila ni ukweli.