Kwa takwimu hakuna beki wa Simba anaweza kua hapo labda ku balance mamboMnaomuweka Inonga na kumtoa Chemalone mpimwe mkojo.
Duuuh...Mapunda na hao wengine?1.Mapunda
2.Rafael da silva
3.Evra
4.vidic
5.maicon
6.iniesta
8.Lampard
9.benzema
10.kaka
11.Gigs
2024 Tafuta zaidi Hela mkuu uanze kunywa Pombe za hadhi kidogoSikuona mkuu shida nakunywa sana banana
Hakuna. Full back wa kulia anaeweza kumuweka bench YAO YAO ,, Ligi zote Africa nasharik na Kati na kusini mwa jangwa la sahara1.Diarra
2.Lusajo mwaikenda
3.Lomalisa
4.innonga
5.Job
6.Sospeter banana
7.Paccome
8.Feitoto
9.Dube
10.Aziz k
11.kipre jnr
Njoo na wewe utaje kikosi chako