Nipo kawaida sana na hakuna Kejeli mpya wa tusi jipya chini ya JuaShi
Naona umeshapanic bwana mdogo relax mpira hauitaji hasira kunywa maji ushushe temper
Inferiority complex ndio inayokusumbua wewe kolo fc a.k.a pampula fc tulia dozi iwaingie ,kila kukicha mnajifariji na thread mpya ..young Africa mayele straiker wa dunia derby itakayokuja lazima awafirimbeNipo kawaida sana na hakuna Kejeli mpya wa tusi jipya chini ya Jua
Na hakuna asiyejua matusi isipokuwa ni uamuzi tu
Kuna wajinga wenzako wamekuja moto kama wewe na nimewatuliza.
Diara akiwa hayupo inampunguzia point za kuwepo ila chama hakuwepo mechi nyingi yeye hapunguziwi alama hahahahaha haya sio mapenzi ni mahabaWe utakuwa na mahaba na Diara kwani hata yeye kuna game hawepo ndo nimempunguza alama
Lakini golikipa mzuri..!
Straiker wa duniani? Nikisema huko kwenu kuitwa Manyani na Sokwe ilikuwa sahihi nitakosea..!Inferiority complex ndio inayokusumbua wewe kolo fc a.k.a pampula fc tulia dozi iwaingie ,kila kukicha mnajifariji na thread mpya ..young Africa mayele straiker wa dunia derby itakayokuja lazima awafirimbe
Hahahaha onyango huyu huyu anaye lambishwaga mchanga ama kuna mwingineMwamnyeto toa weka onyango, dube na chama watoe maana hawakucheza muda
Kuna mishabiki mingine wapumbavu kuleta hoja kama hizi ni ngumu kwao Kazi Kutukana..!Hahahaha onyango huyu huyu anaye lambishwaga mchanga ama kuna mwingine
Mwamnyeto kumkuta onyango utasubiri sana
Mayele atazidi kuwakera mpaka mkumbuke bilion 20 zenu kwa ng'ombe.kanunue ndimu na udongo upunguze masononeko na timu ya wananchiStraiker wa duniani? Nikisema huko kwenu kuitwa Manyani na Sokwe ilikuwa sahihi nitakosea..!
Wewe pale Simba kuna forward gani inayomkaribia mayele? Jumla ya magoli yote yaliyofungwa mugalu,kagere,sakho,chama bado hamfikii magoli ya mayeleKuna mishabiki mingine wapumbavu kuleta hoja kama hizi ni ngumu kwao Kazi Kutukana..!
Mkuu hii mijadala ndo tunataka yaani
Kwani kuna forward ya Simba SC nimeweka hapo? Kaza macho hayo uone vizuri..!Wewe pale Simba kuna forward gani inayomkaribia mayele? Jumla ya magoli ya mugali,kagere,sakho,chama bado hamfikii magoli ya mayele
onyango ni level nyingine mwamnyeto hata kwa kenedy juma haingiiHahahaha onyango huyu huyu anaye lambishwaga mchanga ama kuna mwingine
Onyango kumkuta mwamnyeto atasubiri sana
Hahahahaha kupata vichekesho kama hivi bonyeza *149*34#onyango ni level nyingine mwamnyeto hata kwa kenedy juma haingii
Bora umesema ili ajielewe kwamba Hana kitu kichwani. Watu wanamsema vibaya Gentamycine kuwa ni Popoma wakati Popoma halisi ni huyu.Mzee una kitu unachofikilia kichwani zaidi makamasi yako tu umeandika ujinga mtupu
Kama ungekuwa na uelewa ungejua tu kwamba Mtu kufikia kuuliza kitu basi ana uelewa na hicho kitu. Ningekuwà sielewi hata kuuliza nisingeweza. Mbona wewe hukueleza hiyo kasoro kama kweli unajua? Hata hivyo swali langu lilielekezwa Kwa Wenye busara na si kwako.Unajua nini wewe ikiwa tu Mchezaji kuingia uwanjani bila ruhusa ya mwamuzi hufahamu mpaka unakuja kuuliza hapa.
Halafu wapi nimewadanganya wanasimba na kwa lipi? Yaani kutoa Kikosi ndo kudanganya?
Nalazimika ku conclude kuwa ujinga ndo sehemu ya maisha yako.
Kuandika kwangu si lazima nikufuhishe wewe, watakao elewa inatosha..!Hana anachojua. Mwanzo aliaminika Sana Kati ya mashabiki wa Simba Kwa vile watu wanamchukia Genta. Lakini Genta ana uelewa mkubwa Sana huwezi kimlinganisha na huyu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Huu ushabiki wako utakusababishia ugonjwa wa sononaNatumai ni Wazima Wote Hapa..!
Ufuatao ni mtazamo wangu kuhusu Kikosi cha kwanza cha Wachezaji na Benchi la Ufundi kwenye NBC Premier League msimu huu wa 2022 kwa mzunguko wa kwanza na baada ya mchezo wa kwanza kwa mzunguko wa pili.
Kikosi cha kwanza;
1. Aishi Manula
2. Shomari Kapombe
3. Mohamed Hussein
4. Inonga Henock
5. Bakari Mwamnyeto
6. Khalid Aucho
7. Pape Sakho
8. Claotus Chama
9. Reliants Lusajo
10. Prince Dube
11. Vitalis Mayanga
Akiba;
1. Metacha Mnata
2. Lusajo Mwaikenda
3. Dickson Kibabage
4. Abdallah Kheri
5. Faisal Salum
6. Aziz Andambwile
7. Sadio Kanoute
8. Cleophace Mkandala
9. Fiston Mayele
Kocha Mkuu;
Pablo Franco Martin
Kocha Msaidizi;
Mathias Lule
Kocha wa magolikipa;
Milton Nienov
Daktari wa Timu;
Fareed Cassem
Rangi ya Jezi;
Home - Red
Away - Blue
Third Kit - Black & Orange
Uwanja wa Nyumbani;
Azam Complex.
CEO;
Abdulkarim Amin Popat
Basi la Timu;
Zhongtong Climber New Model.
Sasa umekuwa malaya wa kutafuta huruma kwa watu..!Bora umesema ili ajielewe kwamba Hana kitu kichwani. Watu wanamsema vibaya Gentamycine kuwa ni Popoma wakati Popoma halisi ni huyu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app