Kwa kikosi hiki bila ya Yao na Lomalisa kwenye beki za pembeni, mnyama atakupiga 5.1 diarra
2 kibwana
3 kibabage
4 dikson
5 bakari
6 aucho
7 zengeli
8 yaya
9 musonda
10 zouzoua
11 Aziz ki
Aziz ki namba kumi imemkataa akajaribu kwanza kucheza pembeni ambako kuna purukushani saana Anaweza
Hichi kikosi kitachezea nyingi sana kikikutana na Mnyama1 diarra
2 kibwana
3 kibabage
4 dikson
5 bakari
6 aucho
7 zengeli
8 yaya
9 musonda
10 zouzoua
11 Aziz ki
Aziz ki namba kumi imemkataa akajaribu kwanza kucheza pembeni ambako kuna purukushani saana Anaweza
Nasikia hao jamaa ni sina adabuDuma na Yannick wakwapi?