Kikosi hiki kinawatosha kabisa Dodoma Jiji Leo, Robertinho punguza woga

Kikosi hiki kinawatosha kabisa Dodoma Jiji Leo, Robertinho punguza woga

Nimempenda sana Rafiki yangu MPWAYUNGU Village.

Ameomba kwa Uongozi WA Jamii Forum ( Moderators kuwa w fute Nyuzi zake ZOTE kwa sababu ZIFUATAZO.

1. Ameona ZINAJAZA SEVA za Jamii Forum bila sababu yoyote ya Msingi.

2. Ameona hazina umuhimu sana Kwa Jamii.
Hazina madini AU fursa kwa Jamii kuweza kuzitumia kama ( Reliable source of Information).

NADHANI TUNAOANDIKA PUMBA TUJITEKEBISHE.

TUILINDE JAMII forum WAOVU wasiishinde.
 
Jamaa hapo juu ameamua kwa roho moja kukuandama na kukukazia mpaka ukome mtoa mada.👆
 
Back
Top Bottom