Kikosi kama kile kilichookoa mateka Entebe chasambaratishwa Gaza

Kikosi kama kile kilichookoa mateka Entebe chasambaratishwa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Kisa cha vikosi vilivyokwenda Entebe nchini Ugana kuokoa mateka wa Israel ni maarufu sana katika historia za kishujaa ulimwenguni na kusimulia ubora wa kivita wa Israel.

Vikosi kama hivyo vimesambazwa kote Gaza lakini havijaweza kufanya lolote na imeripotiwa makamanda wake kadhaa wameuliwa na wanamgambo wa Hamas.

Tukio la karibuni ni hapo juzi jijini Gaza ambako Israel mara nyingi imetangaza ushindi na kujiondoa na baadae kurudi tena kama kwamba matangazo ya mwanzo yalikuwa uongo.

Katika tukio la juzi kikosi kama hicho kilisambaratika baada ya kiongozi wao kujeruhiwa vibaya na kulazimika kuokolewa. Kazi ya kikosi hicho cha kikomando ni kufanya kazi ya kuokoa na kukushanya taarifa muhimu kwenye maeneo ya mapigano.

Jeshi la IDF halikutoa maelezo zaidi juu ya jina na kiwango cha madhara kwa askari huyo yaliyolazimisha kusimamishwa kwa operesheni waliyokuwa wakiisimamia

1713333195970.png
 
Kisa cha vikosi vilivyokwenda Entebe nchini Ugana kuokoa mateka wa Israel ni maarufu sana katika historia za kishujaa ulimwenguni na kusimulia ubora wa kivita wa Israel.

Vikosi kama hivyo vimesambazwa kote Gaza lakini havijaweza kufanya lolote na imeripotiwa makamanda wake kadhaa wameuliwa na wanamgambo wa Hamas.

Tukio la karibuni ni hapo juzi jijini Gaza ambako Israel mara nyingi imetangaza ushindi na kujiondoa na baadae kurudi tena kama kwamba matangazo ya mwanzo yalikuwa uongo.

Katika tukio la juzi kikosi kama hicho kilisambaratika baada ya kiongozi wao kujeruhiwa vibaya na kulazimika kuokolewa. Kazi ya kikosi hicho cha kikomando ni kufanya kazi ya kuokoa na kukushanya taarifa muhimu kwenye maeneo ya mapigano.

Jeshi la IDF halikutoa maelezo zaidi juu ya jina na kiwango cha madhara kwa askari huyo yaliyolazimisha kusimamishwa kwa operesheni waliyokuwa wakiisimamia

 
Kisa cha vikosi vilivyokwenda Entebe nchini Ugana kuokoa mateka wa Israel ni maarufu sana katika historia za kishujaa ulimwenguni na kusimulia ubora wa kivita wa Israel.

Vikosi kama hivyo vimesambazwa kote Gaza lakini havijaweza kufanya lolote na imeripotiwa makamanda wake kadhaa wameuliwa na wanamgambo wa Hamas.

Tukio la karibuni ni hapo juzi jijini Gaza ambako Israel mara nyingi imetangaza ushindi na kujiondoa na baadae kurudi tena kama kwamba matangazo ya mwanzo yalikuwa uongo.

Katika tukio la juzi kikosi kama hicho kilisambaratika baada ya kiongozi wao kujeruhiwa vibaya na kulazimika kuokolewa. Kazi ya kikosi hicho cha kikomando ni kufanya kazi ya kuokoa na kukushanya taarifa muhimu kwenye maeneo ya mapigano.

Jeshi la IDF halikutoa maelezo zaidi juu ya jina na kiwango cha madhara kwa askari huyo yaliyolazimisha kusimamishwa kwa operesheni waliyokuwa wakiisimamia

Nasikia wamecharangwa mapanga kama wezi wa mifugo..
 
Kisa cha vikosi vilivyokwenda Entebe nchini Ugana kuokoa mateka wa Israel ni maarufu sana katika historia za kishujaa ulimwenguni na kusimulia ubora wa kivita wa Israel.

Vikosi kama hivyo vimesambazwa kote Gaza lakini havijaweza kufanya lolote na imeripotiwa makamanda wake kadhaa wameuliwa na wanamgambo wa Hamas.

Tukio la karibuni ni hapo juzi jijini Gaza ambako Israel mara nyingi imetangaza ushindi na kujiondoa na baadae kurudi tena kama kwamba matangazo ya mwanzo yalikuwa uongo.

Katika tukio la juzi kikosi kama hicho kilisambaratika baada ya kiongozi wao kujeruhiwa vibaya na kulazimika kuokolewa. Kazi ya kikosi hicho cha kikomando ni kufanya kazi ya kuokoa na kukushanya taarifa muhimu kwenye maeneo ya mapigano.

Jeshi la IDF halikutoa maelezo zaidi juu ya jina na kiwango cha madhara kwa askari huyo yaliyolazimisha kusimamishwa kwa operesheni waliyokuwa wakiisimamia

asa we uganda hapo wajeda wenyewe wanashindia matooke kutwa nzima then ushindwe kuwaokoa mateka kweli...hawajamaa wanajipaga sifa wakikuta na viazi kama vile vya uganda lkn wanangu wa Hamas wana akili timamu,haomakomando wamewaua mateka waliokuja kuwaokoa halafu na wao wakamalizwa na Hamas,INATIA HASIRA SANA HII...KKKKKKKK
 
asa we uganda hapo wajeda wenyewe wanashindia matooke kutwa nzima then ushindwe kuwaokoa mateka kweli...hawajamaa wanajipaga sifa wakikuta na viazi kama vile vya uganda lkn wanangu wa Hamas wana akili timamu,haomakomando wamewaua mateka waliokuja kuwaokoa halafu na wao wakamalizwa na Hamas,INATIA HASIRA SANA HII...KKKKKKKK
Umeona na kunena vyema.
 
Kisa cha vikosi vilivyokwenda Entebe nchini Ugana kuokoa mateka wa Israel ni maarufu sana katika historia za kishujaa ulimwenguni na kusimulia ubora wa kivita wa Israel.

Vikosi kama hivyo vimesambazwa kote Gaza lakini havijaweza kufanya lolote na imeripotiwa makamanda wake kadhaa wameuliwa na wanamgambo wa Hamas.

Tukio la karibuni ni hapo juzi jijini Gaza ambako Israel mara nyingi imetangaza ushindi na kujiondoa na baadae kurudi tena kama kwamba matangazo ya mwanzo yalikuwa uongo.

Katika tukio la juzi kikosi kama hicho kilisambaratika baada ya kiongozi wao kujeruhiwa vibaya na kulazimika kuokolewa. Kazi ya kikosi hicho cha kikomando ni kufanya kazi ya kuokoa na kukushanya taarifa muhimu kwenye maeneo ya mapigano.

Jeshi la IDF halikutoa maelezo zaidi juu ya jina na kiwango cha madhara kwa askari huyo yaliyolazimisha kusimamishwa kwa operesheni waliyokuwa wakiisimamia

Wapewe Pole magaidi wa kiisrael.
 
Gaidi umewahi kumuona wewe au unamsoma tu.
 
Back
Top Bottom