Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 700
Salaam wenzangu hasa wataalamu wa habari za kijeshi. Naomba msaada kuhusu maneno kwa ajili ya vitengo ya kijeshi.
Kiingereza: Company, battalion, regiment, brigade, division, corps, army
Nasikia kwa Kiswahili ni company= kikosi, battalion = kikundi. Nauliza je: inaeleweka?
Maana kwa kugha ya kawaida wala kikosi wala kikundi ni idadi maalumu.
Lakini kwa lugha cha kijeshi "company" inaeleweka ni takriban watu 80-200, na battalion ni jumla ya company 2-7 yaani watu 500-1500.
Kiingereza: Company, battalion, regiment, brigade, division, corps, army
Nasikia kwa Kiswahili ni company= kikosi, battalion = kikundi. Nauliza je: inaeleweka?
Maana kwa kugha ya kawaida wala kikosi wala kikundi ni idadi maalumu.
Lakini kwa lugha cha kijeshi "company" inaeleweka ni takriban watu 80-200, na battalion ni jumla ya company 2-7 yaani watu 500-1500.