karen elias
New Member
- Oct 11, 2016
- 2
- 0
Habari zenu,wandugu,jamani nlikua naitaji mkopo nkaenda kufatilia kwenye taasisi za mikopo kama finca,nk ili iwe rahisi kupata mkopo n lazima uwe na kikundi kuanzia watu wa tano na kuendelea na muwe na biashara ndogondogo,natafuta hao watu watano tuweze kuunda kikundi,kwa mwenye uhitaji naomba anipm au anitafute kwa namba 0769934707