karen elias
New Member
- Oct 11, 2016
- 2
- 0
Mwanangu Karen, wewe unaishi wapi kwani?Habari zenu,wandugu,jamani nlikua naitaji mkopo nkaenda kufatilia kwenye taasisi za mikopo kama finca,nk ili iwe rahisi kupata mkopo n lazima uwe na kikundi kuanzia watu wa tano na kuendelea na muwe na biashara ndogondogo,natafuta hao watu watano tuweze kuunda kikundi,kwa mwenye uhitaji naomba anipm au anitafute kwa namba 0769934707
Sambamba na taasisi za fedha pia kuna hii mbadala: Pesa za mitaji hizo vijana kachukueni......kama finca,nk ili iwe rahisi kupata mkopo n lazima uwe na kikundi kuanzia watu wa tano na kuendelea na muwe na biashara ndogondogo,natafuta hao watu watano tuweze kuunda kikundi
IHabari zenu,wandugu,jamani nlikua naitaji mkopo nkaenda kufatilia kwenye taasisi za mikopo kama finca,nk ili iwe rahisi kupata mkopo n lazima uwe na kikundi kuanzia watu wa tano na kuendelea na muwe na biashara ndogondogo,natafuta hao watu watano tuweze kuunda kikundi,kwa mwenye uhitaji naomba anipm au anitafute kwa namba 0769934707
YAANI HUKO TABATA NZIMA UNAISHI PEKE YAKO HADI UTAFUTE WASHIRIKA WA MKOPO JF?Habari zenu,wandugu,jamani nlikua naitaji mkopo nkaenda kufatilia kwenye taasisi za mikopo kama finca,nk ili iwe rahisi kupata mkopo n lazima uwe na kikundi kuanzia watu wa tano na kuendelea na muwe na biashara ndogondogo,natafuta hao watu watano tuweze kuunda kikundi,kwa mwenye uhitaji naomba anipm au anitafute kwa namba 0769934707