yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
Hujui kusoma imeandikwa android phone s23 ultra+ sasa ukijichanganya ukaagiza ukidhani itakuja samsung umeliwa soma maelekezo ya bidhaa pesa yako itakupa unachotaka. Mnadata na picha alafu mnakuja kuwalaumu kikuu wakati hawana makosa yoyoteSalaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
View attachment 2583586
AhaahaaaHujui kusoma imeandikwa android phone s23 ultra+ sasa ukijichanganya ukaagiza ukidhani itakuja samsung umeliwa soma maelekezo ya bidhaa pesa yako itakupa unachotaka. Mnadata na picha alafu mnakuja kuwalaumu kikuu wakati hawana makosa yoyote
Watu si wanajidai hawataki kusoma sasa watajua hawajuiAhaahaaa
Hapo mtego ni s23 ultra
Basi ni wahuniHawaja tamka samsung hapo kama ukinunua ujue sio samsung
Asante mkuu. Na vipi kuhusu uaminifu wao hasa unapolipia kabla ya kupata bidhaa?Hujui kusoma imeandikwa android phone s23 ultra+ sasa ukijichanganya ukaagiza ukidhani itakuja samsung umeliwa soma maelekezo ya bidhaa pesa yako itakupa unachotaka. Mnadata na picha alafu mnakuja kuwalaumu kikuu wakati hawana makosa yoyote
Hahahaa hapa wametumia janja janja hata kama ni waaminifu kwenye delivery. Hapa lengo no kumconfuse mteja ili aingie mkengeSoma vizuri bidhaa unayoagiza! Ila kimsingi wanaleta mzigo Kama swala Ni uaminifu kwenye kuleta! Ila they give you what you want
Nimeshaagiza picha za ukutani, saa, smart watch, simu, darubini, tochi ya mwanga mkali, taa za gari nguo za watoto. Vitu vinakuja kama ulivyoagiza nguo za watoto tu ndio zilikuja rangi tofauti na kuna muda bidhaa inachelewa kidogo au inawahi aijawahi tumia app zingine ila kikuu nimewaelewa sana mpka sasa.Asante mkuu. Na vipi kuhusu uaminifu wao hasa unapolipia kabla ya kupata bidhaa?
Wanaku confuse vipi wakati kuna sehemu ya details za kitu ulichoona kuanzia vipimo hadi ubora?Hahahaa hapa wametumia janja janja hata kama ni waaminifu kwenye delivery. Hapa lengo no kumconfuse mteja ili aingie mkenge
Salaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
View attachment 2583586
Anakwenda pale namna Gani,anajipiga chenga mwenyewe.Salaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
View attachment 2583586
Apo wewe ndio fursa na naona unaelekea kibla mapemaSalaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
View attachment 2583586
Nimesoma pote kwenye picha sijaona sehemu imeandikwa Samsung, hata mahakamani wanakushinda.Salaam wakuu!
Hii app ya kikuu ina ukweli au uaminifu kwa kiwango gani?
Kwa sababu nimeona bei ya simu samsung S23 ultra plus nimeshindwa kuelewa. Hii ni bei halisi au namna gani hapa??
View attachment 2583586