Kikuyu Pr. School Dodoma Municipal watoto wanakaa chini sakafuni

nzovwe

Senior Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
118
Reaction score
30
Shule ya Msingi ya Kikuyu inayopatikana Manispaa ya Dodoma (Mjini) wanafunzi wa shule hiyo wanakaa chini kwenye sakafu. Waalimu wa shule hii wanawaagiza watoto kufika na mifuko ya salfeti ili wawe wanakalia wakati wakiwa darasa mda wa masomo.

Hii nimeishuhudia siku ya leo asubuhi ndipo nikaamua kumhoji mtoto mmoja jinsia ya kike darasa la tano (V), na nikapewa majibu kuwa waalimu wao wanawaagiza wafikapo shuleni wanatakiwa wanaende na mifuko ya salufeti (magunia) kwa ajili ya kukalia. Jamani elimu hii tutaishia wapi nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…