Elections 2010 Kikwete aahidi usafiri wa treni Dar

tunaomba watuwekee ufafanuzi wa hiyo njia itapita wapi kuwezesha hayo mabasi kwenda mbio toka feri hadi Kimara.Na wakati huo huo siye wa madongo kuinama mbagala, tabata,kawe,mwenge,tegeta tunapita wapi kufika katika mijengo yetu ya kazi na dala dala zetu?
Hapa wanatafutia njia ya kutokea muungwana hapo 31oct.
 
Trillion 7.3! OMG...

Sijaona layout ya huo mradi lakini naamini ni usanii mtupu...
 
nina imani atafanikiwa kwani uwezo anao na nia anayo....hongera kikwete
 
Barabara ya Mwenge,Mandela,Bandari inamiaka zaidi ya mitano haijaisha hiyo reli na barabaraya ya kasi atamaliza lini apumzishwe tuu ili wenake waje wasimamie hiyo miradi period
 
TRL dar kigoma imeshindikana ndio iwezekane ya posta-Ubungo wajinga dio wali wao
 

kwa lugha ingine, kidhungu, wanaitwa USEFUL ******!
 
This guy whatever he say he mean it, and infarct he does it. And if he doesn't do it, is just because of time limitation. Give him more time u gonna prove my words.

Are you another version of Malaria Sugu?? MS anatutosha sana, where the hell are you coming from? we dont need another MS
 
Hii sawa na yule aliye sema anataka kuwaletea wananchi wa Karenga bahari wavue samaki.
Uchaguzi huu tutasikia mengi. Tunaomba kwa miezi michache atekeleze ahadi viporo zile kwanza.
 
This guy whatever he say he mean it, and infarct he does it. And if he doesn't do it, is just because of time limitation. Give him more time u gonna prove my words.

Naona jamaa wanauliza ati njia ni wapi? Reli kuanzia Central Police katikati ya jiji mpaka Ubungo ipo siku nyingi tu. Ni namna ya kuanza kuitumia. Siyo kwamba itajengwa mpya.
 


Alikuwa wapi miaka mitano iliyopita asifanye hivyo?.

Au anasubiri kuja kusema haitekelezeki kama zilivyokuwa ahadi zake za 2005.

Huyu jamaa anakumbuka shuka wakati kumeshakucha.
 
Pesimistic! I am not blaming u, because you born that way.

Haya mwenzetu optimist tupe hoja zako maana ni rahisi kukosoa kuliko kutoa hoja.Hivi ulikuwa wapi wakati JK anajigamba kuwa foleni hizohizo ambazo sasa anaziita ADHA ni dalili za maisha bora kwa kila Mtanzania?Labda hukumsikia,au kama ulimsikia pengine uko too optimistic to understand that unamwagiwa changa la macho.

We can't blame you,there are people who were born to be taken for the ride for their entire lives.
 
nina imani atafanikiwa kwani uwezo anao na nia anayo....hongera kikwete

faithful
Junior Member
Join Date Tue Aug 2010
Posts 3
Thanks : 0 Thanked 0 Times in 0 Posts

Mnakuja kwa kasi....
 
This guy whatever he say he mean it, and infarct he does it. And if he doesn't do it, is just because of time limitation. Give him more time u gonna prove my words.

Unaishi nchi gani wewe?
 
Ujenzi huo unaoanzia eneo la feri na kuishia Kimara ambapo aliwataka wamiliki wa mabasi hayo makubwa kutumia gesi asilia ili kuondokana na uharibifu wa mazingira.

Kuna na gesi asilia? Wizi mtupu
 
You guyz dont be myopic, yaani mnadhani sisiem especially kikwete ndo wanahaki na uwezo wa kuleta maendeleo ndani ya nchi hii!!

I tell you these, and please note not to forget what am gonna say at the point real development in tatnzania gonna come.
1. lazioma sisiemi isitawale vyama vingine vipewe nafasi kusimamamia rasilimali za watanzania
2. Kama sisiemi isipoachia madaraka kwa kuona kwamba imeshindwa kufanya mipango na kutengeneza fulsa kuondoa umasikini ambao unaonekana kukua kila kukicha, basi lazima tuingie kwenye machafuko ile kuwe na nidhamu katika utawala. nisingependa tufike uko though history teach us that for and developed nation that we see to day once passed in a hard time of sacrificing the blood of its citizens.
 
Kwanini atoe ahadi wakati huu?if really jf is the home of great thinkers,tuwaambie watu ukweli hakuna kitu kama hicho ni kuomba kura tu huko
 
Aulizwe huyu katika ahadi zako ulizozitoa kwenye kampeni yako ya 2005 ni ngapi umeshatimiza hadi sasa? Jibu ni ZERO! na hili halina ubishi sasa kisharukia kutoa ahadi nyingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…