...hii ziara ya mbeya ..inategemea ramli nini..maana kila wakati inaahirishwa bila sababu...mbeya jamani mmemfanya nini huyu mwoga ..... Mbona mikoa mingine ameshatembelea kwa ziara rasmi hadi mara 3.....mbeya kunani..????..au ni nchi nyingine??
Swala la yeye kwenda US halikuja leo, mwingine kasema kutakuwa na mitihani ya darasa la saba, siku za mitihani hazikupangwa leo, pia kuhusu mfungo sio jambo geni wala si kwamba hawakujua itakuwa wakati gani. Vinginveyo mseme kwamba wanaoandaa hizo ziara za Kikwete ni wajinga wa kalenda ya nchi hii maana hawajui kutakuwa na nini kesho wala keshokutwa. Kuna jambo hapo, kama sio kugongana vichwa basi huenda ni hofu ya kuzomewa aliyoitaja mwenzetu mwingine hapa, hii nayo ni silaha nzuri. Tunaomba tuitumie tupatapo nafasi, natamani ingekuwa imetumika bungeni akihutubia.
Mkuu,
Kweli kuna haja ya kutumia lugha kama hiyo dhidi ya rais wa nchi? Pia lazima ujue kwamba statement kama hiyo sio tu kwamba unamtukana JK peke yake lakini unalitukana na kabila lake lote. Iweje makosa ya JK yaingie kwenye kabila zima?
Uhuru bila nidhamu ni fujo.
Mbeya kuna watu wenye akili timamu huyu msanii anajua na ndiyo maana anaogopa kwenda huko. Kuna Mwandosya, Mwakyembe, Mwakyusa nk.
Mtanzania
tusaidie mikoa ambayo hajatembelea mimi naanza
1.Rukwa
2.
Sio Vizuri kumuita Rais wetu (Tanzania) kuwa ni Msanii.
Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais wa Nchi.
Tafadhali apewe Heshma yake.
Na hao wote uliowataja ni wafuasi wake na wanamuheshimu, na wanajua kuwa ni Rais wao.
Sio Vizuri kumuita Rais wetu (Tanzania) kuwa ni Msanii.
Mh. Jakaya Mrisho Kikwete ni Rais wa Nchi.
Tafadhali apewe Heshma yake.
Na hao wote uliowataja ni wafuasi wake na wanamuheshimu, na wanajua kuwa ni Rais wao.
Kuna gazeti nilisoma mwanzoni mwa mwezi huu na walitaja mikoa mitano ambayo JK hajaitembelea. Nakumbuka ilikuwa Mbeya, Morogoro na mingine mitatu ambayo nimeisahau.
Sasa haya mambo ya kila siku kuongelea Mbeya ni ujinga tu wa kutaka kuwafanya Mbeya waache kuongelea mambo ya maana na kukazania kuongelea migogoro ya siasa ambayo haipo.
Binafsi nimechoshwa na hiyo migogoro, imefika wakati wa kuipiga vita na kuanza kuongelea maendeleo ya mkoa.
Hii migogoro ya kupandikizwa na watu ambao hata hawaujui mkoa wa Mbeya ni ujinga tu. Kwanini msipeleke huo ujinga kwenye mikoa yenu? JK kama angekuwa anawachukia hao maprofesa asingeliwapa nafasi za juu kwenye serikali yake.
Katika watu ambao walipambana na JK kwenye nafasi ya urais ndani ya CCM, ni prof. Mwandosya tu ambaye ni waziri, sasa hiyo chuki mnayovumisha kila siku inatoka wapi?
Mtanzania
tusaidie mikoa ambayo hajatembelea mimi naanza
1.Rukwa
2.
Tumemchoka huyu wakala wa mafisadi... wala asije... abaki hukohuko ukwereni na mambo yake ya kikwerekwere...