`` The past non-interference in member countries internal affairs has no place in our continent.´´ Jakaya Kikwete, Chair, African Union and President of Tanzania, 10-27-2008
Ni makosa kusema moja kwa moja, wazi wazi, ``kutoingilia mambo ya ndani ya nchi wanachama hakuna nafasi tena barani mwetu.´´
Hata mwanadiplomasia wa Kimarekani, nchi ambayo inaongoza duniani kwa kuchokonoa mambo ya wengine, angekuwa makini sana kutumia lugha kama hiyo. Viongozi wetu kutokuwa makini katika public communication sasa wanaenda kutuabisha katika jukwaa la kimataifa.
Ni careless, unconsidered language kwa sababu inaweza kutafsiriwa kuhalalisha kuingilia mambo ya ndani yoyote yale ya nchi nyingine. Alitakiwa katika sentensi hiyo hiyo aainishe kwa ufasaha kabisa kwamba hii international policy mpya hii ya Afrika inahusu specifically maeneo ya trammeled democracy ambapo kunatokea human crises, kama Zimbabwe. Usipoiweka wazi kwa ufasaha ndio unaanza kuwa misquoted na misinterpreted na misunderstood.
Foreign polices za kuingilia yaliyo ya ndani ya nchi nyingine zinalaaniwa duniani kama vyanzo vya vita na ukoloni mamboleo, hususan dhidi ya mataifa madogo, kwa sababu tunapigana na paternalistic hegemony ya Western imperialists. Kiongozi wa Afrika inabidi awe makini na fasaha sana akitumia lugha kama hizi za kuhalalisha kuingilia mataifa mengine.
Muda wake wa African Union sijui utaisha lini tujitoe huko kwenye kuiongelea Afrika.