Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Kombani na Werema ilikuwaje wapinge katiba mpya? Hawa sio hiyo serikali yake?
:twitch:Jamani wacheni kumzungumzia mwendawazimu Kikwete inaelekea wote hamna cha kusema mpaka mnamzunguzia huyu Fisadi. Tuzungumzieni lini tutaanza revolution ya kumtimua huko Magogoni maana amepageuza sehemu ya kufanyia sherehe na ufisadi. :roll: